TiGO Customer hotline and Voicemail

Mshiiri

JF-Expert Member
Jun 16, 2008
2,012
507
Hivi wadau hili kampuni la tigo si la kifisadi kweli? TCRA ni wanahisa? Customer hotline yake naambiwa kuwa ni kama bahati nasibu na ukiipata unalipia. Je sheria za TCRA zinasema hivyo? Ulimwenguni pote customer care kwa kampuni ya simu lazima iwe TOLL FREE number kwa maana haina chaji na waiting time ni not more that 4 beeps, ila hawa TiGO nasikia mpaka usikilize muziki na kisha ikate yenyewe. Kama uko somewhere very remote that is the help you can have for TiGO. Really can not express yourself! Vitu vingine wanaharibu wenyewe. Ndio maana wanauita majina. Mara mtandao wa Mbuzi, mara mtandao wa wanafunzi, mara jina baya kuliko, mara hadi wakati mwingine unaogopa kusema au kutoa number ya kampuni ya TiGO kwa sababu ya majina. Na hii yote ni kutokana na kutokuwa serious. Customer care hamna, voicemail dead, wanadanganya tu na huduma chini wakati wanakata fedha ya kufa mtu ukipiga mitandao mingine. Wakati nilikiwa nchini niliwahi kulalamikia suala hili la customer hotline nikaambiwa watalishughulikia na hata Director wa TCRA nilimpelekea lalamiko na ameridhika na kukaa kimya kama si Director. Hamana basi anachokifanya ikiwa hili swala ni tatizo. Voicemail ndio nasikia wamefuta kabisaaaaa!

Ushauri wadau mnaonaje cha rahisi ni ghali au waswahili husema cheap is expensive! Is it true? Bora tuhamie ZANTEL, ZAIN na VODA tuiache ife kama TRITEL. Kwanza hawa wametuibia sana wale early adopters wa technology. Hadi ukipokea simu unaliwa. Enzi za ofisi yao ya hapa mjini kati yaaani OHIO kama sikosei. Analog za laki sita sita wamekula sana na muda wa hewani wa laki mbilimbili kwa wiki. Gademu. Hameni masela. Niko roaming na li-number lao, halina voicemail wala sikumbuki siku nilipiga customer care yao kwani hata sasa halipatikani. Mbaya zaidi ni kuchaji hiyo customer hotline. It is ridiculous!

CHEAP IS EXPENSIVE REALLY.
 
Hivi bongo equivalent yetu ya Better Business Bureau ni ipi? Au hatuna kabisa?
 
Mkuu,
Karibu VodaCom, mtandao bora kupita yote nchini kwetu TZ. Voicemail unapata na huduma kwa wateja ni bure na wana ukumbi wa customer care wa kumwaga 24/7 japo kukiwa busy sana waweza kusubiri kidogo ila ni reacharble siyo kama Tigo.
 
Yaani katika wateja milion 5 wa voda milion 4 ni wa tigo..yaani wana line ya pili kwa ajiri ya sms....voda ni wahuni kila jaribio wanalofanya la kuiga..zain,tigo na zantel wanashidwa...hata hili la sms kwa senti tano night wameshidwa ni failed report unapata kila morning nenda zain na tigo ule bata sms kwa siku nzima wajimaliza.

Achilia mbali kujirusha...au jiachie...sasa voice mail ya nini mkuu?Hii utapata upinzani sana mzee kwani watu wa dar wengi wana tigo...kwa ajjiri ya sms mzee...

Mie laini yangu tigo siiachi ng"o.

Good night
 
Yaani katika wateja milion 5 wa voda milion 4 ni wa tigo..yaani wana line ya pili kwa ajiri ya sms....voda ni wahuni kila jaribio wanalofanya la kuiga..zain,tigo na zantel wanashidwa...hata hili la sms kwa senti tano night wameshidwa ni failed report unapata kila morning nenda zain na tigo ule bata sms kwa siku nzima wajimaliza.

Achilia mbali kujirusha...au jiachie...sasa voice mail ya nini mkuu?Hii utapata upinzani sana mzee kwani watu wa dar wengi wana tigo...kwa ajjiri ya sms mzee...

Mie laini yangu tigo siiachi ng"o.

Good night


Nani ahame tigo simu yetu walala hoi ahamie kwa mafisadi VODACOM?

Aisee ahami mtu, kama si tigo na longa longa masaa 24 iliyo wakomba wateja kibao hizo kampuni zingine wangeendelea kutulamba bingo kuuubwa kwa dakika, lakini tigo walivo shusha ndo na wao wanajikongoja! mara free zone, mara jamaa mara bonga wikiendi yote hiyo imeletwa na ubunifu wa longa longa masaa 24!

mkuu hapa umegonga pasipo, tigo ndo mkombozi aliye wafanya wezi wote warudi chini baada ya kuona mtikisiko wa wateja kupungua!

Na, ni ufisadi tu ndo walienda honga huko kwa wakubwa kuwazuia tigo walivotaka kuweka flat rate hata ukivuka mtandao.. hata hivo wewe si mkweli kwamba ukipiga toka tigo kwenda kwingine unakatwa zaidi kuliko ukiwa mfano voda ukapiga kwingine! the opposite is true mkuu..

Kama una bifu lako na tigo, hilo lako mkuu, lakini kwa unafuu wao wanaongoza na hatuhami ngo! hata walioko kwingine siku hizi wana ka tigo kao na akitaka kuongea ana tuma meseji ama anakubip hivi ' weka tigo tuongee' upo mkuu?
 
Nani ahame tigo simu yetu walala hoi ahamie kwa mafisadi VODACOM?

Aisee ahami mtu, kama si tigo na longa longa masaa 24 iliyo wakomba wateja kibao hizo kampuni zingine wangeendelea kutulamba bingo kuuubwa kwa dakika, lakini tigo walivo shusha ndo na wao wanajikongoja! mara free zone, mara jamaa mara bonga wikiendi yote hiyo imeletwa na ubunifu wa longa longa masaa 24!

mkuu hapa umegonga pasipo, tigo ndo mkombozi aliye wafanya wezi wote warudi chini baada ya kuona mtikisiko wa wateja kupungua!

Na, ni ufisadi tu ndo walienda honga huko kwa wakubwa kuwazuia tigo walivotaka kuweka flat rate hata ukivuka mtandao.. hata hivo wewe si mkweli kwamba ukipiga toka tigo kwenda kwingine unakatwa zaidi kuliko ukiwa mfano voda ukapiga kwingine! the opposite is true mkuu..

Kama una bifu lako na tigo, hilo lako mkuu, lakini kwa unafuu wao wanaongoza na hatuhami ngo! hata walioko kwingine siku hizi wana ka tigo kao na akitaka kuongea ana tuma meseji ama anakubip hivi ' weka tigo tuongee' upo mkuu?[/QUOTE

,,,,Ha ha haaaa,Mkuu umenichekesha,hakika hata mimi ni mteja tangu enzi zilee za Mobitel,Buzz GSM na sasa tiGo,tena hapa ndo penyewe sasa,nina laini zote za sijui ZAINA,uncle VODA na mshkaji wetu ZANTEL,lakini zote ofa zao si za uhakika,babu ofa ni longa longer masaa 24 bana,unaongea huna presha ya mafuta kukatikia katikati ya safari.
 
Kaka Mshiiri,tiGO ndio mtandao pekee hapa nchini ambao una gharama nafuu kwa Junkies and so. Matangazo yao yanalenga jamii hiyo,vilevile jamii hiyo haijali kuhusu Customer care,voicemail etc,inajali kupiga simu kutuma SMS basi na endapo SMS zikafail au wakapata Drop calls wao ni mwendo mdundo.hivyo kama upo serious na mawasiliano bora uende mitandao mingine na sio tiGO ukitaka kujua hawapo serious nenda pale makao makuu yao Lugoda hata parking hamna,nenda Ohio Customer service AC hamna.kama zipo ni mbovu,Kaka Mshiiri tiGO sio yako ni mtandao wa Yuppies.
 
Kaka Mshiiri,tiGO ndio mtandao pekee hapa nchini ambao una gharama nafuu kwa Junkies and so. Matangazo yao yanalenga jamii hiyo,vilevile jamii hiyo haijali kuhusu Customer care,voicemail etc,inajali kupiga simu kutuma SMS basi na endapo SMS zikafail au wakapata Drop calls wao ni mwendo mdundo.hivyo kama upo serious na mawasiliano bora uende mitandao mingine na sio tiGO ukitaka kujua hawapo serious nenda pale makao makuu yao Lugoda hata parking hamna,nenda Ohio Customer service AC hamna.kama zipo ni mbovu,Kaka Mshiiri tiGO sio yako ni mtandao wa Yuppies.

Tulia wewe tigo forever...AC sio kigezo cha kuhama mtandao..parking ya gari si kwa wenye magari..si ambao hatuna wala hatujui parking ni ya nini.
Umuhimu wetu ni sms na calls...voda wame prove failed kwenye swala la punguzo....tray this 0763300019 uone kama utapata hata service.

Kwa kweli tigo forever..
 
Mkuu hama mwenyewe...... hata sijawahi kujutia kuwa TIGO na nilianza wakati wa 0741! nafikiri wewe na RA ni ndugu yaani Mafisadi!
 
Tulia wewe tigo forever...AC sio kigezo cha kuhama mtandao..parking ya gari si kwa wenye magari..si ambao hatuna wala hatujui parking ni ya nini.
Umuhimu wetu ni sms na calls...voda wame prove failed kwenye swala la punguzo....tray this 0763300019 uone kama utapata hata service.
Kwa kweli tigo forever..
Bwaaaa haaaaa haaa haaaaa kumbe na wewr Yupppie.
 
Jamani TIGO mpo juu mi natuma sms 150 kwa siku yaani kila siku nakula bata kwa kujiunga xtreme ya sms yaani vidole vinaongea unachajiwa 500/= tu kwa siku.
 
Jamani TIGO mpo juu mi natuma sms 150 kwa siku yaani kila siku nakula bata kwa kujiunga xtreme ya sms yaani vidole vinaongea unachajiwa 500/= tu kwa siku.


Naona jamaa alikuwa anabip kuona kama Tigo inalipa.

Japo nasikia kuna kampuni lingine laja ambalo liko chini zaidi, sema mafisadi wataliwahi juu kwa juu kulizuilia kushusha kama walivo fanya kwa tigo. Kwani walitaka kata mzizi wa fitina kwa kuweka flat rate kwa mtandao wowote utakao jisikia. Hapa wangeua kabisaaa! hata huko isipo shika vyema watu wangepanda juu ya miti, alimradi watumie tigo mtandao wetu walala hoi.
 
Bwaaaa haaaaa haaa haaaaa kumbe na wewr Yupppie.

This one i can handle,But dont ever use this two words(Junkies and
Yuppies ) again towards people you dont know.Or even meet them...

I hope you copy that.
 
Mkuu hama mwenyewe...... hata sijawahi kujutia kuwa TIGO na nilianza wakati wa 0741! nafikiri wewe na RA ni ndugu yaani Mafisadi!

Ufisadi tafisri yake ni rushwa, kukosa utu, kutokujali wengine, tamaa, ulafi, kigeugeu na kutokuthamini mapato na matumizi. Arahisi si tija bali huduma inayopasa hapa. Hatujadili maana ya cheap; bali cheap is expensive. Paying for Customer care hotline na voicemail system. Nafikiri tunaotumia huu mtandao tunastahili haya majina yote yanayopewa huu mtandao la hasha tufikishe ujumbe kwa TCRA na TiGO kwenyewe wa-improve service, na tutaipenda zaidi. Lengo ni kuwafanya wavute socks. Alas!
 
haha haha Mimi nilikuwa voda mzee makato yao ni makubwa sana muda wa mchana maana ukipiga voda kwenda voda wanakata c chini ya 400 kwa dakika halafu waweza hata usipate conclusion na mtu ambaye ulikuwa walonga nae......... Nilivyogundua huo ujinga mbona niko tigo mkuuu, mambo mdundo na tena na hii huduma yao ya extreme sms nd' kabisaaaaaaaaaa sema naona wanataka kujisahau eti sms 120 kama zimeisha unga tena............. wizi mtupu. ila mko juuu na mko pouwaaaaaaaaaaaaaaa!!!
 
Nimeifurahiaa hii mada yani, naona huyu jamaa andhani kukatwa hela nyingi ndo ujanja, ujanja ni upate mawasiliano kwa bei nafuu, kwanini utake kutumia hela nyingi? achana na mafisadi kaka, unachunwa kuku ukijifagilia? kampe japo mtoto wa mjomba wako kijijini hela kama unazo za kumwaga!
 
Tigo ni mtandao wa walalahoi sio Mafisadi kwa umakini wewe chunguza mahisa je ninani ana hisa nyingi utakuta mhe. fulani. mimi siami mtandao tigo tokea analog mpaka sasa
 
tgo ni soo..yaani inatisha mwanangu..hakuna mtandao unaoweza kuufikia hapa tanzania...yaani kwa sie walalahoi tunashukuru kuna tgo..maana nadhan tungekuwa twabipu tu..lkn saivi twaenda hewani ka hatuna akili nzuri..zain na voda tutawaachieni mafisadi mnaotuibia hela za epa kila siku...
 
tgo ni soo..yaani inatisha mwanangu..hakuna mtandao unaoweza kuufikia hapa tanzania...yaani kwa sie walalahoi tunashukuru kuna tgo..maana nadhan tungekuwa twabipu tu..lkn saivi twaenda hewani ka hatuna akili nzuri..zain na voda tutawaachieni mafisadi mnaotuibia hela za epa kila siku...

Karibu jamvini bwana mdogo. TiGO will die a natural death for sure kama hawataboresha bidhaa yao. Time will tell. Bei kwa hakika haiwezi kuondoa ubora wa bidhaa. Kwani kama mtu akikueleza kubeba kinyesi chake mfukoni at no price utajisikiaje. In the world price does not complement quality of service, but the reverse. Ingawa hata kama bei ni sawa na bure simu pia zinazopigwa si za tija ni mambo ya umbea na huu mtandao indirectly unaturudisha nyuma kimaendeleo. No where in the world ambapo mtu asiye na kipato ataongea masaa 10 nonsense sawa na kuozesha meno bila hata kuingiza sent ila kumaliza limited resource tulizo nazo.

Think outside the box.

Why keep poor quality service while there are premium ones on the market?
 
Mkuu hama mwenyewe...... hata sijawahi kujutia kuwa TIGO na nilianza wakati wa 0741! nafikiri wewe na RA ni ndugu yaani Mafisadi!

A perfect change and advancement needs not only commitment but also a devotion! You can not have a better life if you do not make standards, respect them and appreciate the outcome. To advance at these age we need to appreciate quality and not preferences in quantity; as quality compliments quantity and quantity does not compliment quality in practical core economics grounds.
 
Back
Top Bottom