Mshiiri
JF-Expert Member
- Jun 16, 2008
- 2,012
- 507
Hivi wadau hili kampuni la tigo si la kifisadi kweli? TCRA ni wanahisa? Customer hotline yake naambiwa kuwa ni kama bahati nasibu na ukiipata unalipia. Je sheria za TCRA zinasema hivyo? Ulimwenguni pote customer care kwa kampuni ya simu lazima iwe TOLL FREE number kwa maana haina chaji na waiting time ni not more that 4 beeps, ila hawa TiGO nasikia mpaka usikilize muziki na kisha ikate yenyewe. Kama uko somewhere very remote that is the help you can have for TiGO. Really can not express yourself! Vitu vingine wanaharibu wenyewe. Ndio maana wanauita majina. Mara mtandao wa Mbuzi, mara mtandao wa wanafunzi, mara jina baya kuliko, mara hadi wakati mwingine unaogopa kusema au kutoa number ya kampuni ya TiGO kwa sababu ya majina. Na hii yote ni kutokana na kutokuwa serious. Customer care hamna, voicemail dead, wanadanganya tu na huduma chini wakati wanakata fedha ya kufa mtu ukipiga mitandao mingine. Wakati nilikiwa nchini niliwahi kulalamikia suala hili la customer hotline nikaambiwa watalishughulikia na hata Director wa TCRA nilimpelekea lalamiko na ameridhika na kukaa kimya kama si Director. Hamana basi anachokifanya ikiwa hili swala ni tatizo. Voicemail ndio nasikia wamefuta kabisaaaaa!
Ushauri wadau mnaonaje cha rahisi ni ghali au waswahili husema cheap is expensive! Is it true? Bora tuhamie ZANTEL, ZAIN na VODA tuiache ife kama TRITEL. Kwanza hawa wametuibia sana wale early adopters wa technology. Hadi ukipokea simu unaliwa. Enzi za ofisi yao ya hapa mjini kati yaaani OHIO kama sikosei. Analog za laki sita sita wamekula sana na muda wa hewani wa laki mbilimbili kwa wiki. Gademu. Hameni masela. Niko roaming na li-number lao, halina voicemail wala sikumbuki siku nilipiga customer care yao kwani hata sasa halipatikani. Mbaya zaidi ni kuchaji hiyo customer hotline. It is ridiculous!
CHEAP IS EXPENSIVE REALLY.
Ushauri wadau mnaonaje cha rahisi ni ghali au waswahili husema cheap is expensive! Is it true? Bora tuhamie ZANTEL, ZAIN na VODA tuiache ife kama TRITEL. Kwanza hawa wametuibia sana wale early adopters wa technology. Hadi ukipokea simu unaliwa. Enzi za ofisi yao ya hapa mjini kati yaaani OHIO kama sikosei. Analog za laki sita sita wamekula sana na muda wa hewani wa laki mbilimbili kwa wiki. Gademu. Hameni masela. Niko roaming na li-number lao, halina voicemail wala sikumbuki siku nilipiga customer care yao kwani hata sasa halipatikani. Mbaya zaidi ni kuchaji hiyo customer hotline. It is ridiculous!
CHEAP IS EXPENSIVE REALLY.