Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 20,657
- 71,425
Mb 500 unadownload video za nyimbo mbili tu au tatu.
Acha basi
Video 3 MB 500?
Mb 500 unadownload video za nyimbo mbili tu au tatu.
Acha basi
Video 3 MB 500?
i
internet hamia airtel hutajilumu mkuu
Sure video ya 1080p mb mpaka 200.
4k had mb 700
Hiyo nyimbo tu ya dkk 4
Video yenye 1080p yote ya nini hiyo?
Mie kwenye simu hata 360 inanitoshaQuality tu. 1080p imetulia zaidi.
Ila mara nyingi nashusha za 720p.
Mie kwenye simu hata 360 inanitosha
Kwa simu aisee huwa siwezi kabisa kuangalia video ...
Hii ni app gani?Hii ina MB 300+ ni 480p.
Bado ni best maana kuna hadi 320p.
Na hizi nikidownload picha inakuwa clear inaplay hadi kwenye TV. Sema haiwi kama HD.
Lakini tatizo siyo kwa app zote wanaweka hizi . nyingi wanaweka 1080p na 720p.View attachment 1101040
MKUU unatumia app gan kudownload movieHii ina MB 300+ ni 480p.
Bado ni best maana kuna hadi 320p.
Na hizi nikidownload picha inakuwa clear inaplay hadi kwenye TV. Sema haiwi kama HD.
Lakini tatizo siyo kwa app zote wanaweka hizi . nyingi wanaweka 1080p na 720p.View attachment 1101040
Kwani hapo tatizo ni nini? Ikifika saa saba download movie lala zako.
Unatumia Application gani hii?
Mida hio inaonekana wachawi wanakuwa online kilingeni...
i
internet hamia airtel hutajilumu mkuu
Mlalamikaji hii ni biashara huria.
Jiunge na ttcl kwa 1000 unapata gb 10 za 4g. 6:00 usiku hadi 12 asubuhi.
1000 unapata gb 4. Mb 500 hasubuhi hadi saa 2 usiku. Then gb 3.5 unatumia saa mbili usiku hadi saa 12 asubuhi.
Kwanini wanipangie? Kuna ambao hawapendi kuangalia movieKwani hapo tatizo ni nini? Ikifika saa saba download movie lala zako.
Nasubiri namimi majibuMKUU unatumia app gan kudownload movie
Kwanini wanipangie? Kuna ambao hawapendi kuangalia movie