Tido mhando na ajira yake, jeff koinage na taaluma yake

MWANALUGALI

JF-Expert Member
Feb 1, 2010
601
34
Nyerere na serikali yake walituongoza kwa uadilifu na kutufundisha Elimu ya ujamaa na kujitegemea lakini inaelekea katika masomo yao haya walishindwa kabisa! Kwa nini wana taaluma wetu hawakujifunza kujitegemea?

Tido Mhando alifanya kazi BBC kwa mafanikio makubwa, lakini alivyorejea hapa Tanzania alirudi mikono mitupu na kuajiriwa kama Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji la taifa ambako amejisahau na hajali taaluma yake wala uzoefu aliopata akiwa BBC.

Mwenzake Jeff Koinage WA Kenya alifanya kazi CNN kwa mafanikio lakini aliporejea kwao akaanzisha kituo cha television cha K24 ambacho kinafanya vizuri sana ( kiko kwenye DSTV channel 413) Hiki ni kituo kinachokuza na kuonyesha Taaluma inavyo thaminiwa na kumjenga mtu!
Kwa Tido, vijana wa Tanzania wanajifunza kujipendekeza na kutokuthamini taaluma lakini kwa Koinage, vijana wa Kenya wanajifunza umuhimu wa taaluma na taaluma kuwasaidia kujitegemea!
Nawasilisha kwa mjadala!
 
Angalia smile ya TIDO
inasema yote wala huna haja ya kumtafiti sana.
he is primitive dude ktk tasnia ya habari nchini
 
Tido Mhando alifanya kazi BBC kwa mafanikio makubwa, lakini alivyorejea hapa Tanzania alirudi mikono mitupu na kuajiriwa kama Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji la taifa ambako amejisahau na hajali taaluma yake wala uzoefu aliopata akiwa BBC.
Kuna tetesi zisizothibitishwa za ubadhirifu chini ya uongozi wa Tido, ndani ta TBC.Inase,emkana kuna vifaa(spares) hewa zimeagizwa na hazionekani, wakuu wanajikanyaga!
 
Tofauti ya TIDO na JEFF ni kubwa. Jeff Koinange alirudi na kuanzisha kituo chake. Huyu mwingine kilaza tu
 
kufananisha tido na jeff ni matusi kwenye tasnia ya uandishi wa habari
 
tumezoea longolongo na kujipendekeza na kulipana fadhila mwisho tunaua taaluma zetu
 
Kwa hiyo Tido ni mharibifu mkubwa ( janga la Kitaifa) wa akili za vijana ambao walitakiwa kujifunza kutoka kwake namna taaluma inavyosaidia kuendeleza nchi yetu. Sasa kwake wanajifunza ufisadi na faida zake, kujipendekeza na kutokuzingatia wanachojifunza!! Huyu Tido Mhando atakumbukwa kwa mengi kama ukabila, ufisadi, uzandiki, kujipendekeza kwa wakubwa, kuhakikisha BBC inachukua upande wakati wa kampeni, kuharibu kizazi chetu na kuwa mfano mbaya kwa elimu ya kujitegemea!!!!
 
Darasani always kuna wa kwanza na wa mwisho, utachanganya na zako kujua position ya Tido na Jef pia class. Tatizo la wabongo ni ufuasi tu bila kureason. Elimu ya ujasiriamali pia ni tatizo, wabongo ni 'risk averse' sign ya kutokujiamini!
 
Policies za Tido zimesababisha wanahabari wote pale tbc wamekuwa waoga na wanafanya kazi kwa kujipendekeza ... mfano mdogo; angalia usomaji wao wa habari za kutoka magazetini, it is pathetic!!
 
Nyerere na serikali yake walituongoza kwa uadilifu na kutufundisha Elimu ya ujamaa na kujitegemea lakini inaelekea katika masomo yao haya walishindwa kabisa! Kwa nini wana taaluma wetu hawakujifunza kujitegemea?

Tido Mhando alifanya kazi BBC kwa mafanikio makubwa, lakini alivyorejea hapa Tanzania alirudi mikono mitupu na kuajiriwa kama Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji la taifa ambako amejisahau na hajali taaluma yake wala uzoefu aliopata akiwa BBC.

Mwenzake Jeff Koinage WA Kenya alifanya kazi CNN kwa mafanikio lakini aliporejea kwao akaanzisha kituo cha television cha K24 ambacho kinafanya vizuri sana ( kiko kwenye DSTV channel 413) Hiki ni kituo kinachokuza na kuonyesha Taaluma inavyo thaminiwa na kumjenga mtu!
Kwa Tido, vijana wa Tanzania wanajifunza kujipendekeza na kutokuthamini taaluma lakini kwa Koinage, vijana wa Kenya wanajifunza umuhimu wa taaluma na taaluma kuwasaidia kujitegemea!
Nawasilisha kwa mjadala!

Amerudi mikono mitupu na kichwa kitupu.
 
Jamani mbavu zanguuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! :eek2::eek2::eek2::eek2::eek2::eek2::israel::israel::israel:
 
Darasani always kuna wa kwanza na wa mwisho, utachanganya na zako kujua position ya Tido na Jef pia class. Tatizo la wabongo ni ufuasi tu bila kureason. Elimu ya ujasiriamali pia ni tatizo, wabongo ni 'risk averse' sign ya kutokujiamini!

Umenena kabisa! Ngoja nikugongee ka thanks.
"EEEH Mungu wa Watanzania, mbona umetutupa hivyo? mbona hujatupatia mtu wa kuwa mfano kwetu?"
 
Tido na Jeff ni sawasawa na Barclays Premier League na Kinesi Cup. Jeff aliondoka CNN kwa kufukuzwa baada ya kufanya broadcasting ya wazungu wakitekwa na waasi wa MEND kule Niger Delta. Tido hakufukuzwa BBC ila alitongozwa na mkwere ili aje aongoze TUT into TBC. Kwaiyo unaweza kuona jinsi hao wawili walivyorudi kwao. Jeff alirudi na hasira za kuonesha kua CNN walikosea kumfukuza,ivyo akaanzisha TV network yake iliyo critical na objective. Tido alirudi kumridhisha mkwere kua hakukosea kumchagua yeye. The result ndo tofauti inayoonekana kati yao.
 
Tido aliiacha taaluma yake huko huko Uingereza akaja na suruali yake tu, lakini Jeff alirudi na kila kitu chake na anaviendeleza whether kwa hasira kumuonyesha nani au vyovyote vile, lakini kwa faida ya Kenya na Kizazi cha nchi hiyo. He is an inspirational material lakini Tido mmmh!
 
Acheni majungu wakubwa, kwani mafanikio ni lazima aanzishe media? huwezi jua ame invest kwenye sector gani. Hayo ni mambo binafsi acheni umbeaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. Tido piga kazi yako uki staafu anza kufanya vitu vyako. Kama utarudi Tanga kuanzisha kilabu cha pombe ya denge au utabaki Dar ufungue genge uwanja wa fisi yote maisha.
 
Tatizo la wabongo kama Tido akishapewa kaulaji na kauboss basi ana sahau kila kitu hata taaluma anaiona haina mana kwake nlitegemea angekuwa mstari wa mbele ktk kufuatilia habari na hata kuanzisha kipindi chake cha kuwahoji viongozi wa serikali kuhusu utendaji wao na wananchi wawe wanapiga simu live kuhoji madudu na mazuri matokeo yake nae kamezwa na chama na kuchakachuliwa kabisa uzoefu wake ktk tasnia ha yahabri.jeff ni mpiganaji hodari na si mnafiki anajua anachokitenda.wabongo sijui tutaacha lini unafiki na woga hata pale penye ukweli tunaficha.
 
Je kuna yeyete humu anaweza ilinganisha TBC kabla ya ujio wa Tido na TBC baada ya ujio wa Tido?.
 
TBC kabla ya Tido ilikuwa TVT, Tido alipokuja akaikarabati kwa kuigiza KBC, BBC ikawa TBC. Hope umenipata mzee Pasco. Vinginevyo alianzisha ushindani wa chuki dhidi ya ITV na kukumbatia mafisadi!
 
Kutoka wikipedia, Jamani JF tuwe tunasema ukweli. Story ya Jeff si hivyo kama wengi tunalazimisha iwe. Kwanza yeye si mmliki wa hiyo Channel, pia alifukuzwa kwa scandal ya ngono. Tuwe wakweli. Hivi credibility yetu iko wapi?
Background
Koinange was born in Kenya and worked with Kenya's first independent television channel KTN Kenya Television Network. He attended Kingsborough Community College in Brooklyn, NY between 1987–1989 and graduated with an Associate's degree. He also received a Bachelor of Arts degree in broadcast journalism from New York University. Prior to joining CNN, Koinange worked for Reuters Television from 1995 to 2001, covering Africa and serving as their chief producer from 1999 to 2001. He also worked as a producer at NBC News in 1994 and also worked for ABC News earlier in his career from 1991 to 1992. Seven months after leaving CNN, Jeff was hired as a News anchor by a new Kenyan TV station, K24, which started doing test runs in Nairobi in December 2007.He is the host of Capital Talk Show a replica of the CNN Larry King Live
[edit] CNN career

Included among the more significant stories Koinange has covered for CNN in Africa were the crisis in Darfur, the civil wars in Liberia and Sierra Leone and the famine in Niger, for which Koinange won an Emmy award.
Most recently, in early 2007, Koinange was reprimanded by the government of Nigeria for his coverage[1] of the Movement for the Emanicipation of the Niger Delta (MEND). In his report, Koinange accompanied masked MEND guerillas to a camp where they were holding a number of Filipino hostages. The Nigerian government said that the report was "staged", a charge CNN denies.[2]
Koinange has also covered news outside of Africa, including extensive reporting on the aftermath of the Hurricane Katrina crisis as well as the Iraq War.[3]
On May 29, 2007, CNN announced that Koinange was no longer employed by the network. He had apparently been caught up with some sex scandal that CNN did not want to become associated with.[4]
 
Back
Top Bottom