Tido Mhando, amtaja Rais Mstaafu Jakaya Kikwete mahakamani

Ndio maana yule jamaa wa kule shy mtaalam wa haya masheria aliwahi kusema aliuye kupa maelekezo wewe uuze mijengo ndiye alye niagza Mimi pia...
Jamaa aling'ata na kupuliza....

Hii Nchi ilikwisha kuliwa imekwisha kila sehemu yenye wizi jua kuna kiongozi yeyote mkubwa amehusika....

Kwa mwendo huu hatukuja kuona mabadiliko yoyote labda tu serikali chini ya mwamvuli wa CCM itolewe madarakani, naona JPM anajitahidi kugusa gusa ila pia kuna sehemu hawezi tia makucha yake....

Pia tutegemee kusikia mabaya zaidi kutoka kwake pindi atakapokabidhi kijiti kwa mtu mwingine....
 
Nilisubili aseme kwamba, Rais Kikwete ndiye alimwagiza kutumia madaraka vibaya, kumbe alimwelekeza kulitoa shirika mfumo wa Analogia kwenda digitali, kwa maana hiyo wizi aliofanya kwa kulitia hasara shirika la Tbc bado unasimama palepale. Analo shitaka la kujibu
 
Jamaa aling'ata na kupuliza....

Hii Nchi ilikwisha kuliwa imekwisha kila sehemu yenye wizi jua kuna kiongozi yeyote mkubwa amehusika....

Kwa mwendo huu hatukuja kuona mabadiliko yoyote labda tu serikali chini ya mwamvuli wa CCM itolewe madarakani, naona JPM anajitahidi kugusa gusa ila pia kuna sehemu hawezi tia makucha yake....

Pia tutegemee kusikia mabaya zaidi kutoka kwake pindi atakapokabidhi kijiti kwa mtu mwingine....
Maigizo mengi... Kama hapo kesi ndio imeisha hapo... Mh JK hawezi zalilika kwa kort alafu mkulu wa magogoni aangalie tu no ngumu...

Kitaalam kesi imeisha... Like nkapa like JK like magu... Nae bashite atakuja sema niliagizwa na mkulu... Kesi ina isha...

Haya mambo rahisi tu... Kesi sitadi nyoka mwenye makengeza...
 
Kama nayaona yale yaliyotokea kwenye kesi ya mheshimiwa mmoja aliyekuwa balozi mitaa flani hivi huko majuu.
Yap yap,Costa Mahalu,alikuwa na kesi ya matumizi mabaya ya pesa,kwamba alinunua nyumba ya ubalozi kwa pesa ndefu,Mkapa alipoitwa kutoa ushahidi,kesi ikaisha hapo hapo,
Hata hii kesi,ni kupoteza muda na pesa zetu tu,Tido alipewa maagizo na Kikwete,Kikwete akiitwa mahakamani tu,kesi hakuna kabisa
 
Back
Top Bottom