Hapo watatu wamefanywa kafara ila ni mmoja tu ndo zumuni..namba 1
Hata me naona kwa ben pol kakosea labda ameamua kumtaja cos ben akumtaja kwenye list yake wasanii wake wazuri.Kwa Ben Paul hapana.
Labda kateleza, innocent dependent.
Kasahau wasafi festival alizomewa ashukeKwani yeye ana uzuri gani kwenye sanaa? Njaa na stress