TID aiomba serikali imnunulie vyombo vya muziki apambane na watumia madawa

Martin George

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
1,695
1,470
Amesema vyombo vya band yake vya awali alivinunua kwa shilingi milioni 18 lakini kwa sasa hana uwezo. Hivyo anamuomba mtu yeyote mwenye mapenzi mema ikiwemo serikali waweze kumsaidia.

Amesema atatumia vyombo hivyo kupambana na vita ya utumiaji madawa ya kulevya akilenga kuielimisha jamii kupitia muziki.

Source Mahojiano mubashara TBC tv
 
Amesema vyombo vya band yake vya awali alivinunua kwa shilingi milioni 18 lakini kwa sasa hana uwezo. Hivyo anamuomba MTU yeyote mwenye mapenzi mema ikiwemo serikali waweze kumsaidia. Amesema atatumia vyombo hivyo kupambana na vita ya utumiaji madawa ya kulevya akilenga kuielimisha jamii kupitia muziki.Source Mahojiano mubashara TBC tv
Hii dhana ya utegemezi itaisha lini Tanzania? shame!
 
Amesema vyombo vya band yake vya awali alivinunua kwa shilingi milioni 18 lakini kwa sasa hana uwezo. Hivyo anamuomba MTU yeyote mwenye mapenzi mema ikiwemo serikali waweze kumsaidia. Amesema atatumia vyombo hivyo kupambana na vita ya utumiaji madawa ya kulevya akilenga kuielimisha jamii kupitia muziki.Source Mahojiano mubashara TBC tv
Nilicho gundua ni kwamba Tanzania na watu wake wanapenda sana kumsikia mtu hadharani akitamka kua kafulia,,,
 
Amesema vyombo vya band yake vya awali alivinunua kwa shilingi milioni 18 lakini kwa sasa hana uwezo. Hivyo anamuomba MTU yeyote mwenye mapenzi mema ikiwemo serikali waweze kumsaidia. Amesema atatumia vyombo hivyo kupambana na vita ya utumiaji madawa ya kulevya akilenga kuielimisha jamii kupitia muziki.Source Mahojiano mubashara TBC tv
Anataka vyombo vya nini? SI atunge nyimbo Kisha akarekodi studio? Akishapata pesa za mauzo na show ndio awaze kufufua bendi. Anataka apandie kwenye mgongo WA vita ya dawa za kulevya?
 
Back
Top Bottom