zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Leo Nimepita Ofisi ya Shirika la Reli ya kati na kukuta kitangazo cha Maka pen nyekundu,kuwa Wale wote wanaoenda kukata ticketi waende na utambulisho wa vitu vifuatavyo....
1.Barua kutoka serikali ya mtaa,kijiji.
2.kitambulisho cha kupigia Kura/leseni.
3.Hati ya kusafiria.
Bila hvyo hupati ticketi wasukuma,wakigoma mpo hapo.
Nlipouliza sababu hyo mmoja wafanyakazi alijibu ni kutaka kuwabaini wakimbizi.
Nimeshndwa kuweka picha ya tangazo lao natumia simu,Invisibo anipe msaada wa kuziwe hapa zipo 3.
1.Barua kutoka serikali ya mtaa,kijiji.
2.kitambulisho cha kupigia Kura/leseni.
3.Hati ya kusafiria.
Bila hvyo hupati ticketi wasukuma,wakigoma mpo hapo.
Nlipouliza sababu hyo mmoja wafanyakazi alijibu ni kutaka kuwabaini wakimbizi.
Nimeshndwa kuweka picha ya tangazo lao natumia simu,Invisibo anipe msaada wa kuziwe hapa zipo 3.