Kati ya walimu niliopata kuwakubali basi Marehemu Kazibure alikuwa anawashinda wote! Alinifanya nione Physics ya Advance sio somo gumu kabisa. Kizuri zaidi alikuwa anakupa mwanafunzi nafasi ya kufikiri sio kukulisha tu. Kwakweli alikuwa mwalimu bora wa Physics kwa wanafunzi wanaojiandaa kusoma Engineering.
Mkuu kwan history sio somo??
Kuna Mr. Lukinga na Magembe hawa nao walikuwa njema phy na chemistry and bios
Nilikutana na mwehu mmoja wa economics *(jina nalihifadhi) kaishia kunitamani na kunitogoza. Nilimwahidi nitakupa baada ya likizo kuisha nikasepa. Hadi leo sitaki hata kunwona
shaharani?Katika historia yangu nilisoma tuition advance tu tena advance math sababu mwalimu wetu alikuwa kilaza na internet ilikuwa tatizo
Mwaramy nampata ndio wa mwanzo kusoma kwake ,jamaa anashuka ile mbaaaya
Ila kwa mwara nilisoma mara moja tu
Kwa math kuna mtu anaitwa engineer huyo nampa salute zangu zote ,jamaa hakunaga anakushukia complex,differential nk kutoka kichwani ,mpelekee swali lolote anakushukia na uzuri mnaweza kuwa wawili au 3 au prkee yako tu kwahiyo upo free kumuuliza na kujadiliana ,yupo zake nje na meza yake ..kama unatatizo lako la mechanics, physics ,pure mtafute hiki kichwa anakushukia kutoka kichwani
Watabe wa Advance math
Engineer ,mwara ila engineer namuweka mwanzo
Sintasahau ule upaja wa yule mwalimu anayeitwa ... Na kale kasauti kake.Juzi mwaka Jana nimekutana nae ila ...Kila mwanafunzi lazma kuna ticha wa twit anaye au aliyemkubali kinoma!..wakati wa analogy kulikuwa na akina mkandawile,kazibure na mama shija! Digitali nayo ina wakali kama muddy physics 'kamshana'
huyu jamaa nilikuwa namkubali sana kuanzia o level had a level hebu na wewe tiririka matcha wa twit uliowakubali either wa analogy or digital era! g!
Pizzo kijana wangu,anakaa ZoneKuna jembe lngu linaitw pizo mtaalam w uchumi, Alf mzeee wngu mtegetwa wa geography aisee life lmtk mbli sn
MbugiMBUGA wa mchikichini.
Alisha RIpBusanji kanifundisha twisheni physics shule ya msingi mtendeni back 2000/2001
A boy ni muhaya? Kweli nilikuwa nampa kazi za kusolve,jamaa ana njaa balaaHuyu mhaya alikuja perfect vision kwa chemistry advance
Alisha RIp
Alipata stroke jamaamtegetwa hiyo geog anaijua mpk anaboa,nikaw napig geog kw mtege mpk nikaw staff xx cilip
Busanji,Mudi,Kihombo,Silunka etc tayariBusanji kafa? Ah