Hivi NDC want ishu gan?Halafu kuna SIDO TIRDO NDC NIP BICO
Hivi NDC want ishu gan?
Hujui unachotetea Gamba Zombi!Kila taasis ina focus area yake waliziunda Sio wapuuzi Kama wewe.
Dah we kiazi kweli yani...kwahiyo unamaanisha vyuo vngne vifungwe tubak na ud maana ndio vinafanya kazi mojaDar es Salaam Institute of Technology, Arusha Techinical College, National Institute of Transport, Mbeya Tech (sijui sasa inaitwaje) nazo hizi zinafanya kazi inayofanana zingefanywa taasisi moja
Hata ikibaki UD tu kuna shida gan?Dah we kiazi kweli yani...kwahiyo unamaanisha vyuo vngne vifungwe tubak na ud maana ndio vinafanya kazi moja
umesahau TDTC , TCDC , TEMDO na COSTECHHalafu kuna SIDO TIRDO NDC NIP BICO
Mkuu, jamaa anahoja ya maana sana, hizi taasisi kuwa nyingi kunaleta usubufu mkubwa sana, hata Mh Rais, analijua hili, na kuna siku hadi akawa anatania "OSHA sijua wanaosha nin" so ni suala la mda tu, hizi taasisi zitaunganishwa na kuwa chache, kwa ajiri ya kuongeza ufanisi zaid.Kila taasis ina focus area yake waliziunda Sio wapuuzi Kama wewe.