Ni Ngumu sana kwa Watanzania kujiajiri kutokana na ukiritimba(bureaucrazy) ya Serikali na vyombo vyake.
Wafanyakazi wengi wa serikali hasa katika Brela ni shida katika kuwezesha watu kufungua makampuni.
Hawa wafanyakazi wa Serikali (hasa Brela) wanaangalia zaidi chochote utakachompa ndo usajili wako ukamilike.
Siwalaumu sana wafanyakazi wa Brela ama Serikali, TATIZO ni mishahara midogo sana isiyokidhi mahitaji ya maisha . Hii ni sehemu nyeti (uwekezaji) ambapo serikali itakuja kupata kodi, hivyo Wafanyakazi wa BRELA walipwe Mshahara mzuri kama TRA.
Ieleweke Kuwa: Mtu anafungua Kampuni ajiajiri, afanye biashara ama miradi ili apate Pesa. Na sio kwamba mtu anafungua Kampuni kwa sababu anapesa.
Huyu Waziri wa UWekezaji na Uwezeshaji (Mama Mary Nagu) aangalie hili ili Wazawa wawezeshwe na tatizo la ajira lipungue. Vijana wengi sana wana idea lakini wanavyokatishwa tamaa, ni sheeda.
Kwa kweli Mama Mary Nagu wewe ni kati ya Mawaziri unaejitahidi... Naomba uangalie hili katika TIC na BRELA.
Wafanyakazi wengi wa serikali hasa katika Brela ni shida katika kuwezesha watu kufungua makampuni.
Hawa wafanyakazi wa Serikali (hasa Brela) wanaangalia zaidi chochote utakachompa ndo usajili wako ukamilike.
Siwalaumu sana wafanyakazi wa Brela ama Serikali, TATIZO ni mishahara midogo sana isiyokidhi mahitaji ya maisha . Hii ni sehemu nyeti (uwekezaji) ambapo serikali itakuja kupata kodi, hivyo Wafanyakazi wa BRELA walipwe Mshahara mzuri kama TRA.
Ieleweke Kuwa: Mtu anafungua Kampuni ajiajiri, afanye biashara ama miradi ili apate Pesa. Na sio kwamba mtu anafungua Kampuni kwa sababu anapesa.
Huyu Waziri wa UWekezaji na Uwezeshaji (Mama Mary Nagu) aangalie hili ili Wazawa wawezeshwe na tatizo la ajira lipungue. Vijana wengi sana wana idea lakini wanavyokatishwa tamaa, ni sheeda.
Kwa kweli Mama Mary Nagu wewe ni kati ya Mawaziri unaejitahidi... Naomba uangalie hili katika TIC na BRELA.