utiyansanga
JF-Expert Member
- May 19, 2010
- 213
- 7
Umemsikia jk anasema vyombo vya habari vitibu majeraha ya uchaguzi!yeye hajatibu majeraha ya mtandao ya mwaka 2005 na ameongezea mengine,sisi majeraha yetu tutatibu uchaguzi serikali za mitaa na tutapona mwaka 2015!