Nasikia huyu dada waziri wa ardhi eti anataka kukugeuza eneo la Jangwani iwe ni bustani kubwa ya jiji la Dar es salaam.
Hivi itawezekana kweli au anataka kututia changa la macho tu ?
Huyu dada mbona anapoteZa mwelekeo!!! Atatue matatizo ya ardhi yaliyopo kwanza sio creation ya miradi mipya. Kubwa ni uvamizi wa viwanja vya wazi na rushwa ya watendaji wa ardhi hasa kwenye viwanja. aache miradi mipya.