Tibaijuka: Kwakuwa rais ametengua Uteuzi wangu, sasa nipo jimboni natatua kero za Wananchi

Only in Tz: Sakata la umeme lamuondoa waziri wa ardhi wakati waziri wa umeme (nishati) anabaki salama... Labda kwa vile mitambo ya IPTL imefungwa ardhin


Hahaaa! Mkuu Umesomeka vema.Ni kweli kabisa haiingii akilini.
Tezi Dume hakutaka kumtoa mtu ila alijikuta tu anatamka baada ya kuona reactions za wazee waliohudhuria mkutano
 
Hii hasira na "kujitambua" ikiendelea kwa miezi sita, ukurasa mpya utaanza kuandikika
 
Kweli Tibaijuka anastahili kushiriki mashindano ya bibi bomba.

Mwizi mpuuz aliekwisha kazi.

Na pesa zirudi hizo mbwa mkubwa wewe.

unavyo onekana kwa kauli hizi,basi mama yako atakua anapokea matusi makali zaid hata makonde ikibidi,jitahidi kupunguza hasira zisizo na msingi
 
kwahyo asingepigwa chini uwaziri asingerudi kutatua kero za wapiga kura wake? alikuwa na miaka mitano ya kutumikia wapiga kura wake akajikita kwenye uwaziri akawasahau sasa ana miezi sita ya kutatua hizo kero, tayari its To Late!
 
Watanzania wana wivu sana. Pesa amepewa na rugemalira sasa wizi unaingiaje hapo
 
Na bado hajatubu. Hajatuomba msamaha sisi wenye nchi kwa kujiingiza kwenye mchezo mchafu kiasi hicho huku akiwa ni kiongozi mkubwa sana serikalini. Kinachoshangaza vilevile hizi kamati za maadii sijui zinafanyaini kwa sababu zltakiwa ziwachukulie hatua stahiki mafisadi wooote.
 
Jamanii Mwacheni mama wa watu apumzike kazi za uwaziri zinachosha sana. ..nasema tena muacheni
 
Shule hiyo ni ya kitajiri. Mtoto wa maskini hasomi hapo. Ada kwa mwaka sh. 3m. Ni one of the best schools in Tanzania. Ni kiingereza tu..!

Hata hivyo Tibaijuka alitakiwa kwa sasa kukaa kimya na kutoa majibu mafupi sana. Mfano, niko kwenye kikao nitafute baadae, naendesha gari naomba tutafutane baadae n.k hali ya kukurupuka ndiyo imefanya aitishe press conf na mwisho wa siku katemwa pekee yake!
 
Hawa waliotoa tamko!wanajua hiyo shule ada yake ni bei gani?jinga kabisa.

ili shule iwe na viwango vya juu lazma ada iwe juu. pia kuna wanaosomeshwa bure kabisa na wengine wameshamaliza.
ukweli ni kwamba prof. anna tibaijuka kaonewa sana na ndo maana hakuona sababu ya kujiuzuru. hana hatia. tusishabikie ujinga . prof. tibaijuka ni mtu makini mchapakazi anayejitambua msomi na mwenye hadhi ya kimataifa
 
Kimekomaa uso balaaa

wanaoshangilia ni wehu na ni wajinga. ukweli ni kwamba prof. anna tibaijuka kaonewa sana na ndo maana hakuona sababu ya kujiuzuru. hana hatia. tusishabikie ujinga . prof. tibaijuka ni mtu makini mchapakazi anayejitambua msomi na mwenye hadhi ya kimataifa
 
Nimegundua kuwa title ya u-professor inawatia kiburi the called professor, na walio wengi wanadhani wako katika level ya juu ya uelewa isiyohitaji ushauri wa aina yeyote kutoka kwa mtu yeyote asiye professor. Huu ni ugonjwa mbaya sana. Na kutokana na hiyo, maprofesa wakipewa kazi za kusimamia mambo ya umma huaribu kwa sababu ya overconfidence zao. Nashauri watu hao waendelee kuwa kwenye kazi zao za kitaaluma na researches ili sasa viongozi ambao hawajikwezi watumie ushauri wa maprofesa hao na maandishi ya tafiti zao kuongoza taasisi za umma.
 
Hata hivyo Tibaijuka alitakiwa kwa sasa kukaa kimya na kutoa majibu mafupi sana. Mfano, niko kwenye kikao nitafute baadae, naendesha gari naomba tutafutane baadae n.k hali ya kukurupuka ndiyo imefanya aitishe press conf na mwisho wa siku katemwa pekee yake!

apo umenena kiongozi but unajua prof. amezoea siasa za nchi zilizoendelea thats why alidhani hajui km tz tumezoea watu kutolewa kafara tupu
 
Back
Top Bottom