Tibaijuka Kumvaa Masilingi?

Apr 27, 2006
26,588
10,364
Heard through the grapevine: Anna Tibaijuka to run for parliament


During my recent visit to Muleba district in Kagera region I was informed that Dr. Anna Tibaijuka, the United Nations Under-Secretary-General at UN Habitat, will be contesting the Muleba South parliamentary seat in this year's general elections in October.She will join former Dar es Salaam special zone police commander Alfred Tibaigana to challenge incumbent Wilson Masilingi, who was the minister
safe_image.php
- Wakuu wote JF heshima mbele sana ndugu zangu, mnasemaje kuhusu hiii? Imekaa sawa kwa wananchi wa Jimbo la Muleba?

Respect


Field Marshall Es!
 
nahisi kuwa atakuwa amechukuwa uamuzi mzuri sana,
kwaalivyo mchapakazi naamini kuwa anajiandaa kutwaa Nafasi ya juu serikalini hasa kuwa Waziri Mkuu, baada ya miaka mitano kwenye Ubunge na Uwaziri wa nyumba na Ardhi.....
nasema hivi kwa sababu kule kwa Masilingi anaeweza kuwa mpizani wake wa kweli ndani ya CCM ni Mzee Tibaigana.
nasema hivyo kwa sababu Masilingi amechokwa.
 
nahisi kuwa atakuwa amechukuwa uamuzi mzuri sana,
kwaalivyo mchapakazi naamini kuwa anajiandaa kutwaa Nafasi ya juu serikalini hasa kuwa Waziri Mkuu, baada ya miaka mitano kwenye Ubunge na Uwaziri wa nyumba na Ardhi.....
nasema hivi kwa sababu kule kwa Masilingi anaeweza kuwa mpizani wake wa kweli ndani ya CCM ni Mzee Tibaigana.
nasema hivyo kwa sababu Masilingi amechokwa.
Kuna mahali wamesema atagombea kupitia CCM?
 
Akienda huyu mama basi Masilingi ni kwishnei..Nadhani atakuwa ana target uwaziri tu kwenye cabinet ijayo.
 
She should run for Presidency if has got resources.

She is better qualified than JK who if challenged, can easly fall apart.
 
She should run for Presidency if has got resources.

She is better qualified than JK who if challenged, can easly fall apart.


Urais hapana mkuu acha aanzie ubunge kwanza.Huyu mama pamoja na usomi na uchapakazi wake lakini bado hajawa na mvuto kama wa mama Migiro.Au mkuu una mawazo ya ki Plato Plato??
Ukiniambia Migiro for presidency ill back it up hasa ikiwa ni 2015
 
Heard through the grapevine: Anna Tibaijuka to run for parliament


During my recent visit to Muleba district in Kagera region I was informed that Dr. Anna Tibaijuka, the United Nations Under-Secretary-General at UN Habitat, will be contesting the Muleba South parliamentary seat in this year's general elections in October.

She will join former Dar es Salaam special zone police commander Alfred Tibaigana to challenge incumbent Wilson Masilingi, who was the minister responsible for good governance in former President Benjamin Mkapa's administration.

My source reveals that the incumbent has a strong following, and believes he will retain his seat. I was reminded of President Mkapa's successful bid and eventual win of the ruling party's presidential ticket during the general elections in 1995.

Most analysts gave Mkapa a slim chance against the leading candidates: Jakaya Kikwete, and Cleopa Msuya. Former president Julius Nyerere, who many believe supported Mkapa during the primary elections, said:
If one of the leading candidates does not get the majority of the votes cast after the first round, forcing a second ballot, and if Mkapa comes third in that first round then Mkapa will win the nomination after the second vote. If Mkapa comes first or second after the first ballot, his winning chances are slim.
That is what happened, and I thought Mwalimu Nyerere was a genius. But the logic was simple: After the first ballot, the second runner-up would normally throw his support (and votes) behind the third-placed candidate to deny the leading candidate victory. That is what appears to have happened; on the second round Msuya's delegates at the electoral conference voted for Mkapa.

The parliamentary electoral system for the ruling party, Chama cha Mapinduzi (CCM), has been reviewed and instead of delegates voting at an electoral conference this year it will be party members who will cast their votes to nominate the candidate. The success of any candidate will rest sorely on what the party membership decides for each constituency, and I don't believe there will be opportunities for second ballots.

That said, I am yet to know who of the three candidates for Muleba South should be considered the weakest.
http://madarakanyerere.blogspot.com/2010/02/heard-through-grapevine-anna-tibaijuka.html
 
this is a credible source, more strong women pls should come out the hiding plse!
 
Urais hapana mkuu acha aanzie ubunge kwanza.Huyu mama pamoja na usomi na uchapakazi wake lakini bado hajawa na mvuto kama wa mama Migiro.Au mkuu una mawazo ya ki Plato Plato??
Ukiniambia Migiro for presidency ill back it up hasa ikiwa ni 2015
wewe huyu mama yuko more competent than Migiro ukiangalia vizuri utaona she is the most sucessful woman at her capacity at the UN office! Just google her CV to see how much restructuring she has carried and how much money she managed to garner for improving habitats from the rich countries! How much awards she has won! No one has even done so from Africa may be Prof. Maathai! Forget about Migiro's who her nomination was more political and honouring the promises he gave, than merit, that resulted into serious credibility questions from people who thought and till today think of her credibility! even the media contested!
 
pls site the source! humtendei wema aliye-break the news!

- Heshima yako mkuu, wewe deal na contest habari sio yangu ndio maana nimeiweka kwenye quote, ukiona hatuweki majina huwa tuna sababu sio hivi hivi, thanks for the understanding.

Respect.


FMEs!
 
Urais hapana mkuu acha aanzie ubunge kwanza.Huyu mama pamoja na usomi na uchapakazi wake lakini bado hajawa na mvuto kama wa mama Migiro.Au mkuu una mawazo ya ki Plato Plato??
Ukiniambia Migiro for presidency ill back it up hasa ikiwa ni 2015

- Ahsante mkuu, maneno mazito sana hayo na I am down.

Respect.


FMEs!
 
She should run for Presidency if has got resources.

She is better qualified than JK who if challenged, can easly fall apart.

Anna Tibaijuka – Her Replacement

There are things that happen once or twice in a lifetime. An African woman gets placed in a powerful decisionmaking post, and the UN staff protest an internal action albeit peacefully. Anna Kajumulo Tibaijuka is the first African woman elected by the UN General Assembly as Under-Secretary-General of a United Nations programme.In October 2006, she was appointed Director-General of the United Nations Offices in Nairobi (UNON), the only UN headquarters in Africa and the developing world.

As of March 3rd, she is no longer the director general of the UNON, yet she does retain her role as Exec. Director of Un Habitat.She was replaced by Achim Steiner, UNEP Exec Director as the Director General of UNON. His credentials in the UNEP network are outstanding, and he will be an asset to the UNON Directorship. Even as the appointment is billed as a routine shuffle by Sec. Gen Ban Ki Moon, what a message to send to women globally about their place in the UN. What of the role of empowering women. These are not light messages – Secretary they are very very loud and weighty.
- Mkuu vipi huyu anafaa kuwa Rais wetu are you serious au?

Respect.


FMEs!
 
Hivi mama Tibaijuka anajua full implications za kuacha kazi nzuri ya UN na kwenda kuwa mbunge?
 
Mama Tibaijuka yuko juu sana ikiwa atagombea ubunge wa Muleba nadhani utakuwa ndio mwisho wa Masilingi ambae sioni mchngo wake kwa taifa.Mama Tibaijuka anaweza kuja kumsaidia Muungwana hasa katika eneo la mipango miji ambayo iko hoi bin taabani,miji yetu mingi hasa inayokuwa kama Dar,Mwanza,Mbeya,Arusha,Tanga na Dodoma ina hatari ya kuzalisha makazi mabovu yasiyopimwa kama Manzese,Ungalimited na nk.

Watanzania tunawahitaji wabunge kama mama Tibaijuka ili tuweze kusonga mbele natamani ningekuwa mpiga kura wa Muleba hakika huyu mama ningempigia debe bila aibu yoyote.
 
Mama Tibaijuka yuko juu sana ikiwa atagombea ubunge wa Muleba nadhani utakuwa ndio mwisho wa Masilingi ambae sioni mchngo wake kwa taifa.Mama Tibaijuka anaweza kuja kumsaidia Muungwana hasa katika eneo la mipango miji ambayo iko hoi bin taabani,miji yetu mingi hasa inayokuwa kama Dar,Mwanza,Mbeya,Arusha,Tanga na Dodoma ina hatari ya kuzalisha makazi mabovu yasiyopimwa kama Manzese,Ungalimited na nk.

Watanzania tunawahitaji wabunge kama mama Tibaijuka ili tuweze kusonga mbele natamani ningekuwa mpiga kura wa Muleba hakika huyu mama ningempigia debe bila aibu yoyote.

- Mkuu maelezo yako ni serious na right on the money kwamba huyu mama anafaa kuwa mbunge, kuliko aliyeko huko sasa I am down na hii analysis maana ni fair! na ni balanced!

Respect.


FMEs!
 
Its true but she is not yet certain of where to contenst. Coz she has rcvd many requests from pple and leaders of Bk Municipal Council at the same tm Muleba's wants her to contest.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom