Bwana Admin na wengineo
Nakuwekea hapo chini CV ya mama Tibaijuka kwa mujibu wa tovuti ya UN HABITAT, she is excellent kwa kweli katika utendaji wake ingawa hakika watawala waliogopa mno ile taasisi ya BAWATA.
Personally nimekutana na mama Tibaijuka kikazi mara mbili hapa London na mara zote huwa anatema cheche haswa, she is a darling of the western press when it comes to urban settlements na nina makabrasha mawili mazito aliyowahi kunipatia on the state of the world housing kwa hakika tanzania na nchi nyinginezo tunaishi katika mazingira ya tabu sana, katika moja ya cheche zake amewahi kunieleza kuwa ikiwa tunachukua tafsiri ya nyumba na makazi kisheria basi a lot of viband in tanzania haviqualify kuitwa hivyo.
Kwa sasa tunahitaji muelekeo mpya wa kuboresha makazi nchini tanzania, wengi wetu hatufahamu the direct relevance ya nyumba na maendeleo, leo hii tanzania key workers wanahamishwa kutoka sehemu moja kwenda nyingine ilhali hawajapewa nyumba ya kufikia unafikiri key worker [polisi, mwalimu,daktari, muuguzi nk] anaweza kweli kufanya kazi na hali he/she is living rough?!
Hakika hata mijini kuna matatizo makubwa sana ya nyumba, msongamano ni mkubwa na quality familly life ni ngumu sana kuiboost kwa sasa.
SOLUTIONS?
-Yes serikali nyingi za kiafrika hazina pesa lakini zina rasilimali ambazo nchi nyingine hamna ARDHI itumike vizuri, kuwepo na bajeti maalum ya kuboresha makazi na zitungwe sheria kali dhidi ya ukiukaji wake.
-Serikali haiwezi kusimamia au kuhakikisha makazi bora kwa kila raia at a go lakini inaweza kuhakikisha KEY WORKERS wanapata makazi ya kueleweka ili waweze kutenda kazi zao popote wanapopelekwa.
-Hivi sasa hali ilivyo ni kuwa ukipata pesa unakwenda ardhi unanunua kiwanja ukishalipia, unatafuta mchora ramani anakuchorea ramani then unaangalia fundi yupo wapi, aghalabu fundi huyu hana qualifications zozote za ujenzi anakujengea, ukitoka kazini unakwenda kusimamia nyumba yako!
huu ni ujima inabidi process nzima ya ujenzi iwe ni ya kueleweka through and through lazima kuanzishwe financing arrangements ''mortgage style'' tanzania ili mtu asiwe anajijengea tu hovyo hovyo kuwe na established companies linked with banks ambazo unawakabidhi ardhi yako wanajenga to your specifications ili kuepuka ujenzi holela na hii itakupa wewe relief ya kujua yupi wa kumsue mambo yakienda mrama....
Naam mama Anna alinipa shule kubwa hapa patajaa.... CV is posted below:
ABOUT MRS. TIBAIJUKA : CURRICULUM VITAE Anna Kajumulo TIBAIJUKA (DSc. Agroeconomics) UN Under Secretary General and Executive Director, UN-HABITAT Officer in charge, United Nations Office at Nairobi (UNON) Born to small holder banana-coffee farmers in Muleba, Tanzania and educated at the Swedish University of Agricultural Science in Uppsala, Anna Tibaijuka is the highest ranking African woman in the UN system. She was appointed Member of the Commission for Africa established by UK Prime Minister Tony Blair which finally led to the cancellation of multilateral debt for several African countries by the 2005 G8 summit at Glen Eagles, Scotland. In July 2005 the Secretary General appointed Mrs. Tibaijuka as his Special Envoy on Human Settlements Issues in Zimbabwe following massive evictions of the poor in urban areas as a result of a City Clean up gone awry. Effective 1 April, 2006 Mrs. Tibaijuka is designated by the Secretary General as Officer in Charge of the United Nations Office at Nairobi (UNON), the only UN headquarters in Africa and the developing world. She is currently a member of the WHO Commission on the Social Determinants of Health and also Member of the Advisory Board on the multi-donor sponsored Commission on the Legal Empowerment of the Poor co-chaired by Ms. Madeleine Albright (former US Secretary of State) and Chilean economist Hernando de Soto. Mrs. Tibaijuka joined the United Nations Conference on Trade and Development, UNCTAD, in Geneva, in 1998 as Director and Special Coordinator for the Least Developed, Land locked and Island developing countries. She was in charge of capacity building in their trade negotiations in the WTO, and managed to assist LDCs, for the first time ever, to forge a coherent and united negotiating position for their special trade interests. In July, 2000 she was appointed by Secretary General Kofi Annan as Assistant Secretary General and Executive Director of the former United Nations Centre for Human Settlements (UNCHS), the UN agency for the built-up environment and urban development headquartered in Nairobi, Kenya. She is credited to have raised the awareness of the world to the ever increasing challenge of chaotic urbanization, focused the old habitat centre's strategic vision and mission, turned around its dismal performance and management, raised its profile and image, and restored donor confidence, all leading to its upgrading into a full-fledged United Nations Programmeon Human Settlements (UN-HABITAT) by the General Assembly in December, 2001. She was in turn elected by the General Assembly as the first Executive Director of the new UN-HABITAT programme in December, 2002 at the level of Under Secretary General. Prior to joining the UN, Dr. Tibaijuka has a carrier in academics as a Professor of Economics at the University of Dar es Salaam Tanzania. She is author of various books and research papers on agriculture and rural development, farming systems, food policy, agricultural marketing and trade, sustainable development, social services delivery, gender and land issues and environmental economics. She was an active member of the
--------------------------------------------------------------------------------
Page 2
civil society and the women's movement. In 1994 she founded the Tanzanian National Women's Council, BAWATA, an independent non party affiliated organization fighting for women's economic and social rights. In 1996 she founded Barbro Johannson Girls' Education Trust (Joha Trust), which advocates for quality girls' education in Tanzania and Africa and operates a model secondary school for poor girls, mostly orphans. She is patron of Tanzania Young Entrepreneurs Initiative, and Director in several private companies in Tanzania. She is a member of various professional associations and before her present capacity was a veteran in UN world summits such as the Beijing Women Conference, the Copenhagen Social Summit, Habitat II at Instanbul, and the Food Summit in Rome. She is winner of several awards including honorary Doctorate degrees by the University of McGill Canada, University College London, and Herriot Watt in Scotland. She is a Foreign Member of the Royal Swedish Academy of Agriculture and Forestry and CIAT. She is a widow with 5 children, one adopted.