Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
- Thread starter
- #21
inauma sana kwakweli.nilimsikia chami kwenye kipindi cha dk 45 itv akisema alienda india kwa 'medical chek-up' tu na kwamba hakuwa na serious problem hata wenzake wizarani wanajua yuko fit kwani anachapa kazi kama kawa!!!
Nani wa kuwauliza watu kama hawa?nani wa kuwakumbusha wajibu wao kwa nchi hii na wananchi wake?kwa mtindo huu kuna atakayekuwa na urgency ya kuboresha hospitali zetu kwa maana ya miundo mbinu,vitendea kazi,na wafanyakazi kwenye hizi hospitali?
hawa viongozi wetu ni majambazi tu.......................hawana uchungu na kero zetu zikiwemo kuwa na tiba bora hapa nchini kwa sababu wao wenyewe wala hawazitumii.......