Tiba za asili: Manufaa ya asali na mdalasini

Nitafute Kwa wakati wako nipate kukutibia upate kupona.Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Mzizi Mkavu
Mzizi naomba kujua dawa ya chango kwa wanaume,,mume wangu analo chango and inamsababishia anakosa nguvu za kiume na anakuwa na low sperm count
 
wakuu nimekunywa chai ya mdarasini nimechanganya na vijiko 2 vya asali kama lisaa limoja hivi
sasa hivi nimemeza tena vituu swaumu kama vipunje kumi hivi
bac domo lote limechafuka
utaratibu huu ndo nimeuanza leo
Daah safi sana. Hilo bomu ni nomaa mzee
 
JAMAN NAOMBA KUULIZA MTOTO KUKAKAMAZA MIGUU KWA SEKUNDE CHACHE NA KUACHA SHIDA INAKUWA NI NINI? MAANA HOSPITAL ALIPEWA DAWA ZA DEGEDEGE CARBAMAZEPINE MWEZI MZMA LAKN IYO HALI HAIISHI
 
Jman naomba kuuliza swali na nisaidiwe kma itawezekana dawa ya kutumia atumie mdogo wangu anatatizo Kwenye ngozi Sasa Lina kma miezi miwili upande wa kushoto usoni Kwenye shavu pamebabuka vile yaan panakuwa na vidoa doa vyeupe na si viupele Wala hata haviwashi na dawa ametumia za hospitalin lakn hazmusaidii.
 
Back
Top Bottom