vivian
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,749
- 1,000
Unajua suala la tiba bwana ni suala la kibinafsi..sasa wewe kama unaumwa utakuwa unasubiri serikali ndo ikuambie katibiwe pale..kwa hiyo waliokwenda kwa babu mimi siwalaumu ni matakwa yao binafsi..After all kama umeenda na umepona hivi hata serikali ikisema haitambui hiyo tiba wewe unaathirika nini??..Nadhani imefikia sasa watanzani wenyewe kuwa wadadisi sio tu kufuata mkumbo..oh mbona waziri fulani kafanya..oh mbona mbunge flani kafanya..''fanya unaloona lina manufaa kwako na iga pale unapoona juhudi zako zimeshindwa''
Unajua suala la tiba bwana ni suala la kibinafsi..sasa wewe kama unaumwa utakuwa unasubiri serikali ndo ikuambie katibiwe pale..kwa hiyo waliokwenda kwa babu mimi siwalaumu ni matakwa yao binafsi..After all kama umeenda na umepona hivi hata serikali ikisema haitambui hiyo tiba wewe unaathirika nini??..Nadhani imefikia sasa watanzani wenyewe kuwa wadadisi sio tu kufuata mkumbo..oh mbona waziri fulani kafanya..oh mbona mbunge flani kafanya..''fanya unaloona lina manufaa kwako na iga pale unapoona juhudi zako zimeshindwa''
Nichagulie basi ID unajua nyie wajinsia hiyo kwa kuchagua ID maashallah...nakusubiria..mkuu do me a favour and Change your ID. you are really doing injustice to your constructive points here.
hahahahaaaaa looolndio tumeona haitibu baada ya mkuu wa kaya kwenda kupima sauzi na kukuta ngoma iko pale pale na alikunywa kikombe cha babu- waziri wa afya.
thumb up for u,well say! Tena majambazi sugu looolnonsense,kinaponya hakiponyi ni wangapiwameshaaenda na wamekufa au wako hai?? Hatuna serikali tuna genge la majambazi.....
Nimeipenda hii ID ya pumbatupu kwa sababu 'maranyingi' binadamu huwa tuna-judge mtu kwa kumwangalia sura..yaan hatuendagi in-deep..sasa mie nimepienda hii kwa sbb at first people might ignore what i am saying coz ya ID..but if they read my thread they can see the difference..kiufupi 'ajishushae atakwezwa' na 'ajikwezae' atashushwa' umeskia bidada..Niambie kwanza ID ya PUMBATUPU umeipendea nini? n what is the reason Behind.
ndio tumeona haitibu baada ya mkuu wa kaya kwenda kupima sauzi na kukuta ngoma iko pale pale na alikunywa kikombe cha babu- waziri wa afya.