Tatizo la Gonjwa la Sukari (Diabets Mellitis): Fahamu chanzo, aina na ushauri wa tiba ya tatizo hili

Habari zenu wakuu?
Leo nimeenda kumuangalia Aunt yangu ambaye anasumbuliwa na kisukari,ana hali mbaya sana wakuu!
Ana kidonda kikubwa sana mguuni,usiku hapati usingizi kabisa.
Naombeni maoni yenu wakuu,ni namna gani naweza kumsaidia Aunt yangu?
Anateseka sana wakuu.
Kidonda chake ndio kinanipa wasiwasi sana.
 
Habari zenu wakuu?
Leo nimeenda kumuangalia Aunt yangu ambaye anasumbuliwa na kisukari,ana hali mbaya sana wakuu!
Ana kidonda kikubwa sana mguuni,usiku hapati usingizi kabisa.
Naombeni maoni yenu wakuu,ni namna gani naweza kumsaidia Aunt yangu?
Anateseka sana wakuu.
Kidonda chake ndio kinanipa wasiwasi sana.
Pole Sana ndugu Mimi dingi yangu alikufa Kwa ugonjwa wa kisukari mwishoni mwa 1997 pia alipataga kidonda kama Hicho mguuni . Kidonda hakikuponaga ingawa alikuwa na mkwanja mrefu Ila Kwa sasa mtu ukiwa na cash unatravel kwenye developed countries kupata tiba Kwa bongo bado technology yetu ndogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wakuu?
Leo nimeenda kumuangalia Aunt yangu ambaye anasumbuliwa na kisukari,ana hali mbaya sana wakuu!
Ana kidonda kikubwa sana mguuni,usiku hapati usingizi kabisa.
Naombeni maoni yenu wakuu,ni namna gani naweza kumsaidia Aunt yangu?
Anateseka sana wakuu.
Kidonda chake ndio kinanipa wasiwasi sana.
Pole sana kiongozi....hilo tatizo hata baba angu alikuwa nalo,mzee wangu anaumwa kisukari na akapata ajali ya pikpik iliyomsababishia vidonda,kuna muda mguu ulioza wote....
Tiba:1> cha kwanza make sure mnacontrol kisukari kisipande kwakuzingatia lishe nakutumia dawa zakisukari kikamilifu.
2>dressing,hapa jitahidi kila siku kidonda kinasafishwa kwa dawa zakusafishia kidonda nakukifunga kwa dawa maalamu.
3>Anywe dawa za antbiotic ili kuzuia bacteria kwenye kidongo...mkifanya hivyo nimiezi minne or mitano atakuwa keshapona kidonda.
NB: kisukari mkizibiti kisipande zaidi ya 10,na mtakizibiti kwa dawa pamoja na lishe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kilicho,
Nitazingatia ushauri wako.
Unajua hakuna kitu kinaumiza kama kwenda kumjulia hali mgonjwa alafu ukajihisi hauna msaada wowote,yaani inaumiza sana aisee.
Natamani sana nimsaidie Aunt yangu.
 
Kwanza Natanguliza shukrani zangu kwenu kwa jinsi mlivyotoa ushaurii nasaha bila kumkwaza mgonjwa wangu mbarikiwe sana sana .Jana ndio ameanza Ile dose ya bamia ,Ndugu zanguni embu tupeni two weeks tulete marejesho ndugu zanguni ,Asanteni sana naomba muendeelee na ushaurii bila kukoma ,.Kwa Tanzania bila ugali na wali utakula nini jamani ,kwa ukweli ameacha sembe sasa anakula Donna .na mboga za Majani ,
Haukuleta mrejesho Kiongozi..!
 
Kisukari hakitibiwi kwa kula bamia. Huyu mgonjwa akiendelea hivi atakuja kupata avitaminosis ambapo atapata shida nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
tatizo kubwa sisi hatujajua kwanini tunaumwa kisukari, hatujui chanzo ndo maana tunapoteza nguvu na muda kwa vitu visivyo sahihi, kitu hahihi ni kutibu kongosho ambayo inaregulate sukkari ka tunashindwa tuepukane na sukari
 
kilicho,
unaelewa mkuu, nakupongeza kwa hiyo, wakiweza kuzuia sukari isiwe nyingi mwilini mgonjwa anapona pasipo shaka yoyote ila ikipanda kwa muda inakichakaza kidonda na inakifanya kisiweze kupona kabisa,
 
mkuu pole sana kwa kuuguliwa, ila nikutoe wasiwasi na nikwambie mzee wako atapona kidonda na atakuwa poa kabisa, fanya haya mzee wetu atakuwa salama
Zingatia lishe ambayo haitapandisha sukari yake kabisa ambavyo ni vyaakula vya proten, mafuta, matunda ambayo hayana sukari, najua unaweza uliza ni yapi hayo ni parachichi na matango na mengine kulinganan na maeneo yakuzungukayo, mboga za majani, pia na maji mazuri kwa kunywa,
Vitu vya kuepuka na kukimbia ni sukari yoyote hata ka ni asali maana hata ukila asali ukipima unakuta sukari imepanda alafu tukumbuke kinacholeta shida si aina ya sukari bali ni sukari hairekebishwi na kuingia kiasi kile kitakikanacho bali inaingia yote mwilini kitu ambaco kinapandisha sukari kufika sehemu inatishia uhai,

mkuu elimu hii ni pana sana ila ukipata kuifahamu hakika itamsaidia sana mzee, ukizingatia lishe ambayo itafanya sukari iwe chini kiasi kitakikanacho mgonjwa akitumia dawa za vidonda ipasavyo ataponaa kama wagonjwa wengine,
Kama kunamengine tunaweza kusaidiana maana mie pia ninamgonjwa wa sukari
 
inaumiza sana mkuu.kuna ndugu yangu alikua na kidonda wakamkata mguu lkn kikahamia kwingine na ndicho kilichopelekea ndugu yetu kututoka
 
mie namie nilikuwa na ndugu yangu kakatwa vidole ila haikupita week wamemkata mguu, tatizo ni elimu na utekelezaji wake, tumekaririshwa ugali tonge, tunda robo, asali, ugali dona, mtama na uwele kumbe tunaangamia tuuuu
 
Pole kwa kuuguza,zingatieni tu masharti ya wataalam.Mama yangu alianza kupata malengelenge mguuni Kisha kikawa kidonda,kidonda kilikua na hakikupona hadi akakatwa mguu,kabla hata ya kuruhusiwa kutoka hospital sukari ilipanda akafariki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana mkuu kwa kuuguliwa na Aunt.
Hakuna dawa ya moja kwa moja kitibu kidonda cha kisukari isipokuwa ni kuhakikisha kwamba sukari ya aunt isizd kwenye damu.Na sile kabisa vitu vya sukari.
Kimsingi huwa vinasumbua sana kiasi cha kupelekea kukatwa mguu saa zingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kuukata mguu wa mtu wa kisukari ni hatari zaidi ya hatari yenyewe. Cha muhimu apunguze kula vitu vya sukari.
 
Back
Top Bottom