Tiba ya Asthma,Nimonia kwa mtoto mdogo

pole sana mkuu 1800... huwa nasikia kuwa kinyesi cha tembo ni dawa nzuri sana ya kutibu asthma.. ufukiza moshi wake.. ila sina uhakika.. unaweza tafuta watu wakuelekeze kuhusu hiyo dawa.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu 1800 Asali iwe asali mbichi safi ya nyki kiwango chake fanya kiwe kama kikombe cha kahawa na kitunguumaji kiwe kimoja tu Kikatekate Kichanganye Kwenye Asali Kiweke Masaa 12 Halafu Tumia Kiasi Kama Kipimo Cha Hospitali. tumia kwa muda wa siku 3 kisha uje hapa utupe maendeleo ya Mwanao yanakwendaje? Give me feedback.
Mkuu kwa mtu mzima dozi inakuwaje?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu NdasheneMbandu MARADHI YA UGONJWA WA PUMU (ASTHMA) KWA WATU WAKUBWA DAWA HII:
Kila Tiba kati ya zifuatazo ni yenye kujitegemea: Chagua iliyo rahisi kwako.Isipokufaa ndipo uchague nyengine
TIBA 1:
Tafuta ujazo wa sawa kwa sawa wa Arkisusi,Habbat Soda,Sufa,Tangawizi,Zaatari,Zamda,Darufifil,Karafuu.lila moja gram 25
Twanga madawa hayo kwa pamoja mpaka upate unga wake.Chukua kijiko kimoja cha chai (5ml) cha mchanganyiko huu wa dawa,changanya na kijiko kimoja cha chakula (10ml) cha Asali.
Kunywa dawa hii kutwa mara tatu (1×3) kwa siku (7-11).

TIBA 2:

Changanya kijiko kimoja (5ml) cha mafuta ya Haba Soda na vijiko viwili vya ujazo wa 5ml vya asali.Weka kwenye kikombe cha kahawa (50ml),changanya na maji ya uvugu vugu.Kunywa kiasi hiki kutwa mara tatu (1×3).
Kisha jipake mafuta ya Haba soda kwenye koo,kifua na mgongo.Pia chukua kijiko kimoja (5ml) cha Haba soda uweke ndani ya kikombe au kibakuli chenye maji moto.Uwe unavuta mvuke wake puani asubuhi na jioni. Tumia Dawa kisha uje hapa unipe Feedback.


 
Mkuu NdasheneMbandu MARADHI YA UGONJWA WA PUMU (ASTHMA) KWA WATU WAKUBWA DAWA HII:
Kila Tiba kati ya zifuatazo ni yenye kujitegemea: Chagua iliyo rahisi kwako.Isipokufaa ndipo uchague nyengine
TIBA 1:
Tafuta ujazo wa sawa kwa sawa wa Arkisusi,Habbat Soda,Sufa,Tangawizi,Zaatari,Zamda,Darufifil,Karafuu.lila moja gram 25
Twanga madawa hayo kwa pamoja mpaka upate unga wake.Chukua kijiko kimoja cha chai (5ml) cha mchanganyiko huu wa dawa,changanya na kijiko kimoja cha chakula (10ml) cha Asali.
Kunywa dawa hii kutwa mara tatu (1×3) kwa siku (7-11).

TIBA 2:

Changanya kijiko kimoja (5ml) cha mafuta ya Haba Soda na vijiko viwili vya ujazo wa 5ml vya asali.Weka kwenye kikombe cha kahawa (50ml),changanya na maji ya uvugu vugu.Kunywa kiasi hiki kutwa mara tatu (1×3).
Kisha jipake mafuta ya Haba soda kwenye koo,kifua na mgongo.Pia chukua kijiko kimoja (5ml) cha Haba soda uweke ndani ya kikombe au kibakuli chenye maji moto.Uwe unavuta mvuke wake puani asubuhi na jioni. Tumia Dawa kisha uje hapa unipe Feedback.


Ubarikiwe na kuongezewa siku zako za kuishi. Nadhani Tiba 2 imekaa njema zaidi. Labda haba soda ni nini na inapatikana wapi?
 
Ubarikiwe na kuongezewa siku zako za kuishi. Nadhani Tiba 2 imekaa njema zaidi. Labda haba soda ni nini na inapatikana wapi?
Mkuu NdasheneMbandu Basi hata kuweka (Like)

unashindwa? Haba Soda au Habati Sawda kwa jina la Kiingereza inaitwa Nigella seed au Nigella Sativa Seed

inapatikana Kariakoo karibu na Soko kuu La kariakoo Mtaa pemba kwa Wauza Dawa za Kiarabu Waulize

wapemba wanaoishi maeneo hayo ya karibu soko kuu la Kariakoo utapata angalia picha hapo chini uitwange kisha ndio uichekeche ndio uanze kuitumia.........................


Nigella_Seed.jpg

Nigella Sativa Seeds

1307109668317.jpg
 
Last edited by a moderator:
Mkuu 1800 Asali iwe asali mbichi safi ya nyki kiwango chake fanya kiwe kama kikombe cha kahawa na kitunguumaji kiwe kimoja tu Kikatekate Kichanganye Kwenye Asali Kiweke Masaa 12 Halafu Tumia Kiasi Kama Kipimo Cha Hospitali. tumia kwa muda wa siku 3 kisha uje hapa utupe maendeleo ya Mwanao yanakwendaje? Give me feedback.

Asante mkuu MziziMkavu ,nimeagiza asali toka mkoani kwa ndugu yangu natumahi zoezi ili nitaanza jumanne,maana nilikua na hofu na asali za mijini hizi zinaweza kua asali zilizochakachuliwa!nitatoa feedback mkuu
 
Last edited by a moderator:
Wakuu nashukuru sana kwa ushauri wenu,ila pia naomba msaada juu ya ili,mtoto analia lia mara nyingi na mbaya zaidi akikohoa anatapika!
 
Mkuu NdasheneMbandu Basi hata kuweka (Like)

unashindwa? Haba Soda au Habati Sawda kwa jina la Kiingereza inaitwa Nigella seed au Nigella Sativa Seed

inapatikana Kariakoo karibu na Soko kuu La kariakoo Mtaa pemba kwa Wauza Dawa za Kiarabu Waulize

wapemba wanaoishi maeneo hayo ya karibu soko kuu la Kariakoo utapata angalia picha hapo chini uitwange kisha ndio uichekeche ndio uanze kuitumia.........................


Nigella_Seed.jpg

Nigella Sativa Seeds

1307109668317.jpg
Mkuu nitakugongea LIKE. Barikiwa sana.
 
Last edited by a moderator:
Pole sana kwa kuuguza.Kuna tiba ya pumu nimeipata kwenye rmail yangu na maelezo ni kama ifuatavyo: (nanukuu maelezo yote) DAWA YA PUMUIkiwa una maradhi ya pumu watumie wengine ambao watafaidikaHii ni dawa muhimu kwa uwezo wa Allah kwa wale wenye maradhi ya pumu imevumbuliwa bi Fadhl Allah na muhandis (Engineer) kutoka Sudan ambaye alikuwa na maradhi haya na alikuwa akibanwa na pumu sana ikikaribia kuomba mauti hasa wakati wa kubadilika hali ya hewa. Kuna watu wameshajaribu na imewafaa mmoja alikuwa akipelekwa hospital kutiliwa oxygen na mwingine akitumia inheler na wote wamepona baada ya kutumia dawa hii. Dawa yenyewe ni :Chukuwa karafuu 6 zitowe vicha vyake kisha roweka hizo karafuu katika nusu gilass ya maji usiku kisha unakunywa maji yake asubuhi kabla hujala kitu. Fanya hivyo kwa muda wa siku 15. Sisemi kuwa inampa nafuu mgonjwa bali inamponyesha kabisa kwa uwezo wa Allah.Usifanye ubahili kuwatumia na watu wengine wapate manufaa.
 
Pole sana kwa kuuguza.Kuna tiba ya pumu nimeipata kwenye rmail yangu na maelezo ni kama ifuatavyo: (nanukuu maelezo yote) DAWA YA PUMUIkiwa una maradhi ya pumu watumie wengine ambao watafaidikaHii ni dawa muhimu kwa uwezo wa Allah kwa wale wenye maradhi ya pumu imevumbuliwa bi Fadhl Allah na muhandis (Engineer) kutoka Sudan ambaye alikuwa na maradhi haya na alikuwa akibanwa na pumu sana ikikaribia kuomba mauti hasa wakati wa kubadilika hali ya hewa. Kuna watu wameshajaribu na imewafaa mmoja alikuwa akipelekwa hospital kutiliwa oxygen na mwingine akitumia inheler na wote wamepona baada ya kutumia dawa hii. Dawa yenyewe ni :Chukuwa karafuu 6 zitowe vicha vyake kisha roweka hizo karafuu katika nusu gilass ya maji usiku kisha unakunywa maji yake asubuhi kabla hujala kitu. Fanya hivyo kwa muda wa siku 15. Sisemi kuwa inampa nafuu mgonjwa bali inamponyesha kabisa kwa uwezo wa Allah.Usifanye ubahili kuwatumia na watu wengine wapate manufaa.

Asante sana mkuu,itabidi nimpe na tiba hii pia,na hakika kwa majaribio yote haya yatokanayo na michango/mawazo mazuri ya wana JF,basi na kwa uwezo wa Muumba lazima uponyaji utapatikana tu!
 
Pole sana ndugu. Mimi mtoto wangu mwenye umri wa miezi 11, alipata Pnemonia, akawa anakohoa na kutapika na homa kali. Namshukuru Mungu nilimpeleka hospt moja mitaa ya kwetu Tabata, siku hiyo hali ilikuwa mbaya akaniambia ana Pnemonia,mpeleke hospt kubwa mkalazwe. Nikadecide kumpeleka Muhimbili, upande wa Private, nikapata matibabu, alipewa AUgmentin, ya kunywa siku 7, na Benylin cough syrup kwa ajili ya kikohozi, namshukuru sana Mwenyezi MUNGU sasa yuko okay.
 
Asante sana mkuu,itabidi nimpe na tiba hii pia,na hakika kwa majaribio yote haya yatokanayo na michango/mawazo mazuri ya wana JF,basi na kwa uwezo wa Muumba lazima uponyaji utapatikana tu!

Mkuu pole sana ila angalia kwani naona kila dawa unasema aksante sana utmpa mgonjwa angalia sana usije ukachanganya madwa ikawa sugu
 
Mkuu pole sana ila angalia kwani naona kila dawa unasema aksante sana utmpa mgonjwa angalia sana usije ukachanganya madwa ikawa sugu

Hapana mkuu,ni uungwana tu kushukuru pale watu wanapokupa msaada wa kimawazo,nitajaribu tiba moja moja na kusikilizia matokeo yake,asante kwa angalizo lako
 
Madactory wengi hutoa sababu ya ugonjwa kwa kukisia.Mi mwanangu akiwa na miaka 3 alikua anakohoa sana.Nikaenda kwa mtaalamu wa kifua akasema ni pumu inamsumbua.Aliniandikia dawa mfuko wa Rambo ulijaa.Nilipofika home nikazisoma moja baada ya nyingine then nikazitundika.Nikaenda Dukani nikatafuta dawa ya kikohozi ya maji yenye mchanganyiko wa kupunguza mziho (BENYLIN ya watoto).Baada ya siku tatu akapona kabisa.Baadae nikagundua mtoto anakunywa sana maji ya baridi,then nikapiga marufuku.Kuhusu Nimonia,kuna dawa inaitwa Augment ya UK ni nzuri sana au Clavam
Hii pia hata kwa mkubwa? mana nina bi mkubwa wangu amekuwa akisumbuliwa na hili tatizo kwa muda kidogo, ametumia sana dawa za kisasa 9za hospitali) lakini hakuna unafuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom