1800
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 2,215
- 603
Wadau naombeni msaada wenu wa kiushari na kitabibu pia,
Nina mwanangu anasumbuliwa sana na kifua muda mrefu,ni mtoto wa miaka miwili,leo nimempeleka kwa speacilist amempima na ametoa majibu kua anasumbuliwa na nimonia,asthma pamoja na allergy,kuna dawa wamenipa ili aanze kutumia.
Ninachoomba ni ushauri wenu. Je, ni tiba gani ambayo ni ya uhakika kuweza kutibu gonjwa ili bila kujirudia,dawa hiyo iwe ya mitishamba au lah yote sawa,kikubwa ni uponyeshaji wa uhakika kabisa.
Nina mwanangu anasumbuliwa sana na kifua muda mrefu,ni mtoto wa miaka miwili,leo nimempeleka kwa speacilist amempima na ametoa majibu kua anasumbuliwa na nimonia,asthma pamoja na allergy,kuna dawa wamenipa ili aanze kutumia.
Ninachoomba ni ushauri wenu. Je, ni tiba gani ambayo ni ya uhakika kuweza kutibu gonjwa ili bila kujirudia,dawa hiyo iwe ya mitishamba au lah yote sawa,kikubwa ni uponyeshaji wa uhakika kabisa.