Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,794
- Thread starter
- #321
Pole na hongera mno.. Nashauri usiache kutumia chumvi... Endelea usichoke.. Kuhusu hicho kitu kizito kifuani hilo sio zongo, hapo kuna kitu kingine umebebeshwa, ngoja nione nitapata wapi MAKATA kisha takurudiaHabari Mkuu Mshana Jr . Kwanza natanguliza shukrani , Mimi ni mtu ninayesumbuliwa sana na kusisimkwa sana ubavu wangu wa upande wa kushoto hadi kichwani, midomo kucheza, nimeshahangaika sana kwenye swala la tiba bila mafanikio. Mganga anatibu baada ya wiki au siku 4 tatizo linarudi. Nimefatilia kuogea chumvi ya mawe nimeona imerudisha mvuto, kusisimkwa kunaenda kunapungua japo kwa taratibu, inabakia tu kama nimebandikwa kitu kizito kwenye kifua.
Nahisi hii niliyopigwa ni zongo. Nimeona hapo umezungumzia tena kuhusu dawa ya makata. Pengine hiyo inaweza kunitatulia tatizo langu. Samahani, naomba formula jinsi ya kuitumia hii makata na utaratibu wake.