Thumbs-Up kwa Designer nguo za Rais Samia Suluhu Hassan

Anaeweza kubadiki hata mara 10 yeye hanunui nguo ila serkali ndiyo inayo mnunulia
Mama Samia ndio tafsiri halisi ya "MWANAMKE NI USAFI", akiwa ziara anabadili hata nguo 4 kwa siku moja.

Sio hayo magube gube mlioyazoea ya Instagram & Bongo Movie, linavaa nguo moja week nzima, kutwa lipo mbio mbio chini ya jua na kutukanana, mpaka likiivua na kuisimamisha, nguo inasimama yenyewe dede bila support.
 
Acheni mchezo bana.

Mama yetu ni mtu smart sana anajua kupangilia nguo sio mchezo.

Wanawake muige mfano wake sio wengine nguo mnavaa hadi siku kumi, wengine nguo ya sendoff ndio hiyohiyo hadi harusi hapana lazima mjifunze kwa Mama yetu..

Mama anapiga vitu vya kueleweka na wanaomshonea wanampatia acha kabisa, ile ndio haiba ya uongozi sasa.

Yaani mama akisalimia kidogo tu kama kuna kipengele cha maji ya kunywa kabla ya kunywa maji lazima abadilishe nguo.

Mama Uganda alienda kapiga kitu kingine haaa wakati wa kurudi ashabadilisha kabisa haya ndio maneno sasa. Mama kwa miaka minne atabadilisha nguo pea 2920.
 
Acheni mchezo bana,
Mama yetu ni mtu smart sana anajua kupangilia nguo sio mchezo ,
Wanawake muige mfano wake sio wengine nguo mnavaa hadi siku kumi, wengine nguo ya sendoff ndio hiyohiyo hadi harusi hapana lazima mjifunze kwa Mama yetu.
Mama anapiga vitu vya kueleweka na wanaomshonea wanampatia acha kabisa, ile ndio haiba ya uongozi sasa.
Yaani mama akisalimia kidogo tu kama kuna kipengele cha maji ya kunywa kabla ya kunywa maji lazima abadilishe nguo.
Mama Uganda alienda kapiga kitu kingine haaa wakati wa kurudi ashabadilisha kabisa haya ndio maneno sasa. Mama kwa miaka minne atabadilisha nguo pea 2920.
Tuwe fair. Hivi kweli SSH mnamuita mama yenu kwa kumpenda au kujipendekeza? Mbona hatukusikia marais waliopita mkiwaita baba zenu? Je akiondoka kwenye ulaji mtaendelea kumuita mama yenu? Janet aliitwa mama kipenzi leo mnamuita mjane wa Jiwe. Kujipendekeza kitu mbaya sana.
 
Tuwe fair. Hivi kweli SSH mnamuita mama yenu kwa kumpenda au kujipendekeza? Mbona hatukusikia marais waliopita mkiwaita baba zenu? Je akiondoka kwenye ulaji mtaendelea kumuita mama yenu? Janet aliitwa mama kipenzi leo mnamuita mjane wa Jiwe. Kujipendekeza kitu mbaya sana.

Kwani unaona Bongo movie wanamuita tena Makonda Kaka yetu? Kwani mbona Magufuli tulimuita Jemedari wetu au haukumbuki
 
Back
Top Bottom