kipindi cha jk tulizoea akina kinana wakiona waziri Fulani hatendi kazi kama ipasavyo walitoka hadharani no kutamka waziwazi kuwa waziri huyo ni mzigo.
awamu hii kuna mawaziri wengi mizigo lakini hakuna kiongozi Wa ccm aliyetoka hadharani na kuwachana.
awamu hii ccm wanamhanya mkulu maana wanajuwa Mkuu hataki alichokifanya kibezwe
hapa kasi tu
awamu hii kuna mawaziri wengi mizigo lakini hakuna kiongozi Wa ccm aliyetoka hadharani na kuwachana.
awamu hii ccm wanamhanya mkulu maana wanajuwa Mkuu hataki alichokifanya kibezwe
hapa kasi tu