kangi lugora enzi za ujana wakeWale millennials watoto wa juzi angalieni tu hamruhusiwi ku comment.View attachment 1332027View attachment 1332030
Acha zako wakati nyie ndo mlikuwa mnatafutiwa mpaka wachumbaEnzi hizo ukisikia mwanaume ujue mwanaume kweli,maana kulikuwa hakuna kulialia ,mtoto wa kiume miaka kumi anajua kujishughulisha ,mtu anasoma hategemei pochi ya mzazi
Kijana wangu hatukuwa na mambo kama yenu,mnashindana na dada zenu kujipodoa sisi hata mafuta ya kujipaka tulikuwa hatuyajui,nyie mnapaka mpaka wanja?Acha zako wakati nyie ndo mlikuwa mnatafutiwa mpaka wachumba
Mlikuwa mnaenda shule mjitu mizima kama kina kangi lugola imefundishwa na mtu ambaye inazidiana naye miaka minne
Sent using Jamii Forums mobile app
Usirudi kabisanitarudi
Sent from my iPhone using JamiiForums