Threads 1,000 hazitoshi ku-prove ubaya wa Magufuli bali fact moja tu

Hatuongelei kuhusu siasa.

Tunaongelea kama madai yanayohusishwa kufanywa na Magufuli kama kweli Magufuli
alihusika moja kwa moja au la.

Unapesema Magufuli ni fisadi, chizi, jambazi, muuaji hayo ndio tunayoyaombea uthibitisho.
Na si falsaafa za Magufuli.

Ukisoma philosophy of science utaelewa kwanini nimetumia mfano huo.
Anayesema ni chizi nk. Anageneralise tu bila evidence. Wakati Mwingine tunapuuza tu.
Lakini kusema kuna mambo alikuwa wrong hiyo inaelezeka. Nimekuelewa sana ila wtz wengi huishi kwa kuamini zaidi kuliko hali halisi ya mambo. Hii ndio maana ubishi umetawala sana akili zetu.

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
JPM tunakosea sana kumhukumu. Hata angeamua kugueza Ikulu ya DSM kuwa Bar au kiuiuza kabisa. Hakuna ruhusa kumshitaki popote. Ndio katiba yetu

Hivyo mjadala wote hapa na comment zote mkumbuke hilo. Yeye hakuwa malaika.
 
Mimi nilifuatilia kwa makini sana Kampeni za Uchaguzi mkuu wa mwaka 2015. Kwa kawaida wakati wa Kampeni ndipo huwa zinaibuliwa kashfa lukuki za wagombea, lakini sikusikia hata kashfa moja ikimlenga Magufuli.
Hii inamaanisha kwamba, Magufuli hakuwahi kuwa na kashfa yoyote. Sasa kama ilishindikana wakati huo, itawezekana leo kumbambikia makosa JPM? La hasha, haiwezekani kabisa.
Hata waungane watu 5000 na zaidi kujaribu kufuta Legacy ya JPM hawataweza hata kidogo.
RIP, BABA YETU,JPM.
 
Mimi nilifuatilia kwa makini sana Kampeni za Uchaguzi mkuu wa mwaka 2015. Kwa kawaida wakati wa Kampeni ndipo huwa zinaibuliwa kashfa lukuki za wagombea, lakini sikusikia hata kashfa moja ikimlenga Magufuli.
Hii inamaanisha kwamba, Magufuli hakuwahi kuwa na kashfa yoyote. Sasa kama ilishindikana wakati huo, itawezekana leo kumbambikia makosa JPM? La hasha, haiwezekani kabisa.
Hata waungane watu 5000 na zaidi kujaribu kufuta Legacy ya JPM hawataweza hata kidogo.
RIP, BABA YETU,JPM.
Magufuli ataishi milele na milele,
na walio muondoa wamempa heshima ya kukumbukwa
zaidi kama askari wa mstari wa mbele aliyefia kwenye uwanja wa vita.
 
Einstein kwenye kitabu chake akiwajibu hundred authors against Einstein anasema "If I was wrong one could be enough" akiwa na maana kama ningekuwa siko sahihi basi mtu mmoja tu angetosha kuni-prove wrong.

Alisema hakutegemea mamia ya watu ili kumprove wrong bali fact moja tu inatosha kumprove wrong na kuonesha makosa yake.

Licha ya threads zaidi ya 1000 kuanzishwa jukwaani hapa lakini bado zimefeli ku-prove ubaya wa Magufuli na kuonyesha
udhalimu na ukatili Magufuli aliofanya kwa uthibitisho.

Kama asemavyo T. Shakur "truth is too plain to see" rivals wake kuanzia upinzani, CCM, bungeni, wanaharakati, mitandao ya kijamii,
hata mataifa ya magharibi bado wamefeli kuprove ubaya wa Magufuli.

Inahitajika thread moja tu yenye facts kuprove ubaya wa Magufuli na sio thread 1000 kama sasa.

Kama kweli Magufuli ni mkosaji basi nilitegemea mtu mmoja tu angetosha kuonyesha ubaya wa Magufuli kwa fact
na sio hearsay.

NB: Tumhukumu Magufuli kwa facts na sio porojo.
Sasa threads zimefika 10,000 na bado hazijaprove ubaya wa Magufuli...
Sisi kama msoga gang tufanye nini zaidi!!???
 
Back
Top Bottom