Threads 1,000 hazitoshi ku-prove ubaya wa Magufuli bali fact moja tu

Machinga kidogo wafaidi nn?, unajua kwann wanaongezeka Kila siku. Vp kuhusu kampuni yake ya ujenzi aliyokuwa anaipa tenda za ujenzi, haikufata taratibu za rank za board ya maenguneer, napo alikuwa anabana mafisadi
Kampuni yako wewe usingeipa tender mfano ukiwa raisi au mlitaka akae kifala kama Nyerere ili mje kumcheka ana familia ameshindwa kui support tu?

Hilo la kampuni linaeleweka nyumbani kwanza afterall kazi walifanya sio kama kampuni imekul hela za serikali bure.
 
Lisu kapigwa risasi na hakuna kesi wala uchunguzi, Sugu kafungwa na kuibiwa ubunge ,Ben Saanane, uchaguzi kuibwa nchi nzima, watu kuwekwa ndani kwa tuhuma tuu bila kesi, utekaji na yale mambo ya wasiojulikana na miili kukutwa ikielea baharini etc sisemi ni yeye lakini yote hayo yalitokea akiwa Raisi
 
Ukiacha Jaribio la Ki Shetani lililo fail la Kutaka Kumuua Lissu, Watu Kama Sabaya ni Reflection tosha ya Jinsi Mwendakuzimu alivyokuwa Katili, Laghai, Jambazi,Muongo, Muovu na Ibilisi.
Hao watu ni aina ya watu ambao hata kwenye utawala wa sasa wapo tu! Kuna watu wana roho za kishenzi na wananyanyasa wenzao katika utawala huu huu wa samia! Hio haimfanyi samia kuwa raisi wa ajabu na katili!

Huwezi hukumu raisi kwa wrong doings za mtu mwengine!? Sabaya aliji present kama mtu mzuri ila kwa cheo alichopewa kakitumia kufanya mambo ya hovyo ila ni nje ya ambavyo alitakiwa kufanya.

Magufuli hakupenda ujinga ujinga bali watu serious kwenye majukumu yao.
 
Hawa mataahira ndio huwa wanasema tatizo letu ni mfumo.
Sasa sijui huo mfumo ndio dude gani? Huo mfumo hauna watu wanaouongoza? Yaani TRA ijiongeze bila kusimamiwa. Polisi pia hivohivo na taasisi zote zijiongoze bila kusimamiwa. Wanadai katiba mpya huku hii iliyopo haifwatwi. Na hata ukiwauliza mapungufu ya katiba hii watakutajia yale yakisiasa tu. Huu sijui ni utaahira gani?
Hawa wanafuata midundo ya wanasiasa wanasahau mwanasiasa yuko pale kwa interest zake
kama anapinga ufisadi sio kwa sababu haupendi bali ni njia ya kuchukua wafuasi tu.
katiba kwao ni tume huru na muungano wanaamini itawasaidia kuingia ikulu iwe zanzibar au bare.
NB: naomba niwaite makasuku wa kisiasa.
 
Lisu kapigwa risasi na hakuna kesi wala uchunguzi, Sugu kafungwa na kuibiwa ubunge ,Ben Saanane, uchaguzi kuibwa nchi nzima, watu kuwekwa ndani kwa tuhuma tuu bila kesi, utekaji na yale mambo ya wasiojulikana na miili kukutwa ikielea baharini etc sisemi ni yeye lakini yote hayo yalitokea akiwa Raisi
Umeongea vizuri sana yani! Hujamuhukumu ila umetoa angalizo you are very right. Tulitegemea aweze ku act right kwa hizi situations!
 
Kufa kila mtu anakufa hata wewe utakufa, it costs more kuwa against kundi la wanafiki dhidi ya kuuishi unafiki!

Angeamua kuungana na team ya wana Msoga na kuendelea kuwafanikishia michakato yao ya kuidokoa nchi pengine agalikuwapo mpaka sasa. It costs more to be a sheep in a gang of wolves!
Kwa hiyo akaona aanzishe michakato yake ya Chato na akina Mayanga Construction, Mfugale na Kijazi. Sawa nimekuelewa na CAG Prof Assad alpohoji zilipo Tsh 2.4 Trillion akafurushwa kazi
 
Lisu kapigwa risasi na hakuna kesi wala uchunguzi, Sugu kafungwa na kuibiwa ubunge ,Ben Saanane, uchaguzi kuibwa nchi nzima, watu kuwekwa ndani kwa tuhuma tuu bila kesi, utekaji na yale mambo ya wasiojulikana na miili kukutwa ikielea baharini etc sisemi ni yeye lakini yote hayo yalitokea akiwa Raisi
Uko sahihi hata mimi nilitamani hivo...
 
Yeye ndiyo alivyoona kwamba ni msaliti ,labda angeweka wazi hizo meseji na audio clip alizomrecord tukaziona/kusikiliza kama ni usaliti au lah....alimuhukumu kwa mtizamo wake.
Kumbukeni uraisi ni taasisi kuna vyombo vina act kwa niaba ya raisi na kumpendekeza atekeleze maagizo flani kwa ridhaa yake na mengine si kwa ridhaa yake.

Mkumbuke lissu alikuwa ni kihere here na kujifanya nguli wa sheria huku akitumia neema hio kumletea chaos raisi! Kumuita majina ambayo kimsingi hayapendezi.

Nyerere alikuwa na uwezo wa kuiongoza serikali kama familia na kina sinde warioba walikuwepo kina andrew chenge wakawepo ila hakuna aliyethubutu kumuita Nyerere dikteta ati sababu aliwapangisha foleni ya kununua bidhaa ama kuwapangia watu utaratibu wa kumiliki mali na kuzitaifisha. Ile ilikuwa nidhamu tu ya kibinadamu. Walioleta ujuaji pia kuna ambao yaliwakuta kula stiki hadharani 😅.

Sasa kutumia uhuru wako sio kosa kikatiba ila ukitaka kutumia uhuru wako kuwa kero kwa mwenzio hilo halivumiliki! Lissu alishughulikiwa na mamlaka flani ila hatuwezi connect direct na magufuli sababu hatuna hakika kama alikuwa ni yeye japo kwa hisia za kibinadamu tunaweza hisi ni yeye hali ya moyo kuwa na kisasi.
 
Kwa hiyo akaona aanzishe michakato yake ya Chato na akina Mayanga Construction, Mfugale na Kijazi. Sawa nimekuelewa na CAG Prof Assad alpohoji zilipo Tsh 2.4 Trillion akafurushwa kazi
Alipohoji si ilifikia wakati akaulizwa hela imeliwa ama haijaliwa mbona alisema hapana?
 
Back
Top Bottom