CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
Nakuunga mmkono Madame B, watupe sample hata 2 tu
nawaunga kiuno!!
Nakuunga mmkono Madame B, watupe sample hata 2 tu
Hata hivi ulivyouliza pia ni utoto! Swali la nyongeza?
Atalitoa wapi!?? Hahahah...jibu linamtosha.
let's talk abt anything lakini sio nonsense. ngoja pal aje kutafsiri.. lol
Halijatosha Moyo, twende kazi!!
Kwi kwi kwi kwi!!
Hahahahaha alijisemea Masanilo chit chat imejaa vibibi na vibabu lol. Source :makutano! You know what i mean eeh?inasikitisha sana pal..... halafu ni watu wazima haswa tena wengine nawafahamu hadi kwa sura. bora umewapa za uso leo.
Inajaza seva bana! Kwanini mtu mzima a post utoto?Its simple, mtu akiposti what you call thread ya kitoto don't comment we pita tu
Its simple, mtu akiposti what you call thread ya kitoto don't comment we pita tu
Inajaza seva bana! Kwanini mtu mzima a post utoto?
Its simple, mtu akiposti what you call thread ya kitoto don't comment we pita tu
Like ! Like ! Like !let's talk abt anything lakini sio nonsense. ngoja pal aje kutafsiri.. lol
We ukiona sredi yako imepotea katika mazingira ya kutatanisha jua umepost utoto!Labda huwa hajui kuwa ni utoto anaposti ndo maana tukaomba mifano kwa niaba yao ili siku nyingine wakitaka kupost wanaikumbuka then wanaacha
Hahahaha! Yani natamani sahivi ndio iwe asubuhi!hahahaha!!! sure love..... makutano before breakfast..... ukumbuke kupigwa mswaki tu ila tea tutapata pa1.