chardams
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 2,439
- 1,732
Majukwaa yote yana heshima zake na kumekuwa na taratibu zinazoelekezwa; kwanza wakati wa kujiunga na JF na taratibu zingine za kila jukwaa. Pamoja na yote hayo, hapa CHIT CHAT tumekuwa na tatizo la kupost chochote kinachokuja kichwani kama wanafunzi.
kabla klik kwenye forum ya CHIT CHAT utakuta maneno hayo hapo chini
- General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Hivi tafsiri yake ni nini? naomba mtoa mada na waliokusapoti mnitafsilie kwa kiswahili maana wengine hapa hii lugh ya akina thank you tumekariri tu, si unajua tumesoma zile shule ambazo kila kijiji zipo