Lazima zipunguwe kwasababu watu wengi hawana tena mishahara kwasababu ya madeni ya benki, sakos, vikoba na vitu kama hizo.Ama kwa hakika..serikali ya awamu ya tano inastahili pongezi..na hii ni dalili ya kuongezeka hali bora kwa watumishi..kipindi Cha nyuma tarehe Kama hizi zingejaa nyuzi za kuulizia mshahara kama umetoka.
Mshahara umeshatoka nenda kachukueAma kwa hakika..serikali ya awamu ya tano inastahili pongezi..na hii ni dalili ya kuongezeka hali bora kwa watumishi..kipindi Cha nyuma tarehe Kama hizi zingejaa nyuzi za kuulizia mshahara kama umetoka.
Kuwa serious basi....kweli Au?
Man man bora umerudisha avatar ya zamani! Hiyo uloweka ilitaka kufanana na avatar ya cocochanelLazima zipunguwe kwasababu watu wengi hawana tena mishahara kwasababu ya madeni ya benki, sakos, vikoba na vitu kama hizo.
Yaani hata wakiulizia mishahara ni sawa na kujisumbua tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umegundua ndiyo kaulizia hivyo. Apewe tu majibu kuwa bado!