Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,223
Wakuu hebu tupeane tetesi za usajili na usajili uliokamilika katika ligi kuu Tanzania bara.
Usajili wa wachezaji na Makocha,nani katoka wapi na kaenda wapi,je ni usajili mzuri ?
Yanga na Simba ndo timu ambazo kelele za usajili zimejaa masikioni mwa watu.
Tetesi za wachezaji kutoka timu timu za nje APR,Rayon sport ,Bandari Fc,Gormahia,ZESCO.
Usajili wa wachezaji na Makocha,nani katoka wapi na kaenda wapi,je ni usajili mzuri ?
Yanga na Simba ndo timu ambazo kelele za usajili zimejaa masikioni mwa watu.
Tetesi za wachezaji kutoka timu timu za nje APR,Rayon sport ,Bandari Fc,Gormahia,ZESCO.