Siafu na Manga
JF-Expert Member
- Aug 5, 2013
- 2,885
- 8,955
nenda google andika GoATdee.net utaona list ya mechi nyingi za kila ainana ukitaka ku stream kwa pc inakuaje?
nenda google andika GoATdee.net utaona list ya mechi nyingi za kila ainana ukitaka ku stream kwa pc inakuaje?
pc ndio ina njia nyingi kuliko zote. kifupi njia zote za simu unaweza tumia kwenye pc ukitaka mobdro, ukitaka iptv player, kodi, flash, html5, acestream, sopcast etc. we unajua njia gani?na ukitaka ku stream kwa pc inakuaje?
Shukrani sana mkuu nitaleta mrejesho1. tumia streamtube, ni app ya youtube live huwa mipira ipo, ina scam nyingi tafuta video zenye likes nyingi. ukifungua app search timu moja inayocheza mfano leo uefa unasearch tu monaco utapata mechi ya spurs na monaco.
2.tvizzle, vlc na iptv player nyengine, hizi zinahitaji uwe na link na link zinapatikana online kabla ya mechi, google tu mechi husika na mbele ongeza neno iptv
3. flash sport, live tv na app nyengine za mpira, hizi unazidownload tu store, flashsport ni nzuri sema unalipia kila mwezi ila ina trial ijaribu.
4. html 5 links tembelea hapa wakati wa mechi zitaekwa
reddit: the front page of the internet
sema zinakuwa na matangazo sana
iko vizuri sema tu iyo lugha sasalink hii apa japo ni ya kirusi lakini mechi zote live
hata kwa net ya speed ya 300kbps
Прямые трансляции каналов. Бесплатные спортивные каналы смотрите онлайн.
nipe ilio rahisipc ndio ina njia nyingi kuliko zote. kifupi njia zote za simu unaweza tumia kwenye pc ukitaka mobdro, ukitaka iptv player, kodi, flash, html5, acestream, sopcast etc. we unajua njia gani?
inadai attackers try to still my tricknenda google andika GoATdee.net utaona list ya mechi nyingi za kila aina
pc ndio ina njia nyingi kuliko zote. kifupi njia zote za simu unaweza tumia kwenye pc ukitaka mobdro, ukitaka iptv player, kodi, flash, html5, acestream, sopcast etc. we unajua njia gani?[/chief please nisaidie jinsi ya kutumia mobdro tv katika pc natumia window 10
1. hakikisha una adblocker, bila hii utapata sana shida, google adblocker ikifuatiwa na jina la browser yako.ni
nipe ilio rahisi
shukrani1. hakikisha una adblocker, bila hii utapata sana shida, google adblocker ikifuatiwa na jina la browser yako.
2. ingia website hii wakati wa mpira halafu chagua mechi utaona links za kuangalia mpira. chagua HD kama una bundle kubwa yenye speed na chagua SD kama una bundle dogo lenye speed.
reddit: the front page of the internet
duuhMechi online?
Tumia xvideos au hata xhamster
Japo zinakula sana bundle!
Duuuh!!! ama kweli bange siyo mchicha....Mechi online?
Tumia xvideos au hata xhamster
Japo zinakula sana bundle!