Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,146
- 79,302
MY TAKE
Majirani muache husda malipo yapo hapahapa duniani! Msipoangalia hili suala la ukosekanaji wa maji, infection itaongezeka kupita maelezo!
wako busy na kuinyooshea kidole TanzaniaSidhani hata Bujumbura kama wanashida ya maji kama Nairobi, hawa kweli ni 'Failed state", yaani pamoja na mvua zote hizi bado wanashida ya maji,?
Sent using Jamii Forums mobile app
tuinyooshee kidole coz ndio anapoishi rais wa East Africawako busy na kuinyooshea kidole Tanzania
Duuu eti ndiyo wako kwenye lockdown?? Wakati Tanzania pamoja kutokuwa na lockdown huwezi kuta watu wamebanana hivyo. Hata mask za kushona majirani zimewashinda.
MY TAKE
Majirani muache husda malipo yapo hapahapa duniani! Msipoangalia hili suala la ukosekanaji wa maji, infection itaongezeka kupita maelezo!
Hahahaha MK254MK254 anapita kwa mbalii na ndoo yake anaenda kutafuta maji,kutoka kibera anapoishi mpaka Lang'ata na hana uhakika wa kuyapata,na anatakiwa saa12 jioni awe amerudi na ameshalala
Hiyo ni middle income.country
MK254 UKUJE hukuNchi ya hovyo sana, kamji finyu kama kanairobi kananyukwa na uhaba wa maji for decades
Magufuli katoa maji Mwanza mpaka Tabora sasa yanaenda Singida zaidi ya kilometers 330 kwa miaka mitatu tu
Kweli akili ni nywele kila mtu ana zake.
Huyo Kiazi Akija utasikia nimeona waziri wenu anasema SGR yenu imefikia 77%MK254 anapita kwa mbalii na ndoo yake anaenda kutafuta maji,kutoka kibera anapoishi mpaka Lang'ata na hana uhakika wa kuyapata,na anatakiwa saa12 jioni awe amerudi na ameshalala
Hiyo ni middle income.country
Ndio mbinu yake kuu siku hizi kuhamisha madaHuyo Kiazi Akija utasikia nimeona waziri wenu anasema SGR yenu imefikia 77%
Yaani hajitambui
Mada hii analeta ile
Nchi yao Hakuna kitu inafanya kwasasa kikafanikiwa
Wapo vibaya
Lapsset hit by budget cuts, state saves Sh7.2bn
Ni wivu kwa Tanzania!Hivi tatizo la hawa jamaa hasa ni nini?
Naelewa hilo la wivu kwetu, nisichoelewa ni kwa nini wanatatizo la maji, tena Nairobi?Ni wivu kwa Tanzania!