Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,188
- 79,398
Huku idadi ya maambukizi ya virusi vya Corona ikiendelea kuongezeka nchini, wakaazi wa mitaa ya Mabanda ya Mukuru kwa Njenga na Mukuru kwa Reuben wanalalamikia ukosefu wa chakula licha ya serikali kuzindua mradi wa kuwapa chakula.
Hadi sasa, hakuna mkazi hata mmoja amepokea chakula cha msaada, licha ya waziri wa usalama wa ndani Dkt. Fred Matiangi kuzindua mradi huo.
Hadi sasa, hakuna mkazi hata mmoja amepokea chakula cha msaada, licha ya waziri wa usalama wa ndani Dkt. Fred Matiangi kuzindua mradi huo.