Thomas Sankara (1949-1987) - Muasisi wa taifa la Burkina Faso

Mkuu SHERRIF ARPAIO kila nikiona hizi picha na maandiko yanayomhusu Thomas Sankara huwa machozi yananitoka na kisha kuwa na hasira zisizomithilika dhidi ya Balaise Compaore ambaye hadi sasa anaiongoza Burkina Faso.

Lakini pia huwa najipa moyo kwa kuwakumbuka wanamapinduzi wengine ambao waliingia madarakani hapa Afrika wakiwa na mioyo ya kizalendo lakini baaday ya kukaa madarakani kwa muda mrefu wakajisahau na kugeuka kuwa mabaradhuri.

Sijui kam Tom naye angegeuka ila yote kheri tu ni mpango wa Mungu kumleta, akafanya alichokifanya ambacho hadi leo kimebaki vichwani mwetu na kisha kumchukua.

Mbaya zaidi nasikia Blaise alilelewa na baba yake Sankara.
Sankara alinifurahisha alipomsemea hovyo mbele ya waandishi wa habari rais wa France wakati huo, Mitterrand kwa kitendo cha kumualika Peter Botha wakati huo wa Apartheid. Mitterrand aligeuka mwekundu kama steak!
Namkumbuka Sankara kwenye speech yake kule OAU alipowasemea hovyo viongozi wote wa Africa kuachana na kutegemea misaada "Bakuli"
 
tumblr_maco1psZZF1qi3ir5o1_r1_500.png
42-vi.jpg
thomas-sankara.jpg
 
images
blaise-compaore-11-juin-2012.jpg


Blaise Compaore (The Traitor)

He took power on 15 October 1987 in a coup that murdered Thomas Sankara, his predecessor as head of state.[SUP][8][/SUP] Compaoré described the killing of Sankara as an "accident", but the circumstances have never been properly investigated.[SUP][9][/SUP] Upon taking the presidency, he reverted many of the policies of Sankara, claiming that his policy was a "rectification" of the Burkinabé revolution.

Initially ruling in a triumvirate with Henri Zongo and Jean-Baptiste Boukary Lingani, in September 1989 these two were arrested, charged with plotting to overthrow the government, summarily tried, and executed.[SUP][10]
President Compaoré has been in power for more than two decades; After his first two terms, he modified the constitution to reduce the duration of presidential term from 7 to 5 years and apply term limits. This would mean that President Compaoré is in his last term (until the end of 2015). However his political party is working towards removing the limitation of the presidential terms. The opposition parties and some of the civil rights advocates are opposed, however.[/SUP]
 
[h=1]Burkina Faso: Blaise Compaoré And The Politics Of Personal Enrichment – By Peter Dörrie[/h]August 15, 2012






Blaise Compaoré: 'the only African head of state who managed to dramatically limit the development of his country without declaring outright war on it.'
By African standards, Burkina Faso is not a particularly spectacular country. It is small, has a tiny population and internal politics which most foreign correspondents tend to find somewhat pedestrian. No wonder that it receives only little attention, even in Africa-focused publications.
In those rare cases when something is published on the internal politics of Burkina, it often only scratches the surface and conveys a deceiving image of the country and its primary actors.
The recent piece on African Arguments‘Compaoré's Continuing Will to Power' by Michael Keating and Coulibaly Nadoun is a perfect case in point. It leaves the reader with two main impressions:
Not to be misunderstood: Of course most indicators of economic and human development improved during the 25 year term of Blaise Compaoré – but so much slower than in most other African nations that his lack of interest in lifting his population out of poverty can hardly be denied. Instead, Compaoré is obviously more concerned with developing his own personal fortune and that of his entourage.
This can be observed clearly by visiting Ouaga2000, a newly built, extravagant part of the capital, where one can indeed find the ‘wide and well maintained' roads that Keating and Nadoun mention in their article. While the rest of the city (not to speak of the rest of the country) has only a handful of surfaced roads, in Ouaga2000 new SUVs glide over a pristine tarmac in front of lavish villas and luxury hotels.
The tiny upper class, which ostentatiously shows off its wealth in this district, is the only real beneficiary of Compaoré's rule. While Burkina hasn't got the riches of some of its neighbours, the ruling elite has managed to find significant profits from gold mining, cotton production and development assistance. An example: One company among the many owned by the mother in law of Blaise's brother François was contracted to build a new road between the regional hubs Koudougou and Dédougou. While the road should have been finished long ago it constantly requires further public investment, whilst the ‘belle mère de la nation' has become the richest women in the country.
Beyond its initial appearance, Compaoré's legacy becomes clear: his rule has not benefited Burkina Faso in any tangible way. Instead, he has treated the country and its limited resources as his property, to the benefit of a small ruling elite designed to secure his power. That he has managed to avoid directly killing a large part of his population in the process shouldn't win him any praise, written or otherwise.
*Make no mistake though: Opposing the ruling elite can be just as dangerous in Burkina as in other authoritarian countries. Just ask the children of Norbert Zongo, a journalist killed for investigating the involvement of Compaoré's brother in a murder.



 
Isidire Thomas Sankara alizaliwa tarehe 12.12.1949 Mjini YOKO (Volta ya juu) na kuuawa tarehe 15.10.1987 na wanajeshi wenzake wakiongozwa na rafiki yake Rais Blaise Compaore katika mapigano ya usaliti yaliyotokea Mjini Ouagadougou akiwa katika kikao cha utendaji wa kazi. Thomas Sankara alipanda ngazi za kijeshi hadi cheo cha Captain pamoja na mwanajeshi Rafiki yake Blaise Compaore ANAYEJUA SIRI YA KIFO CHA CHA THOMAS SANKARA . Alipata kunena kwa shirika la kutetea haki za Binadamu duniani kwamba “kifo cha Thomasi Sankara ni ajali tu.
Mwaka 1981 alikuwa waziri wa mambo ya ndani katika serikali ya kijeshi ya Rais Jean Baptiste Major. Dr. na baadaye aliteuliwa kuwa waziri mkuu kwa kipindi cha kuanzia Mwezi Januari 1983 mpaka mwezi Mei alipokamatwa na kutiwa mbaroni na serikali ya Rais Major Jean Baptiste Dr kutokana na msimamo wake juu ya ukombozi kwa watu wote wa Volta na kupendelea Marxist Revolution theories.


Thomas Sankara alikuwa Rais kuanzia mwezi Agosti 4. 1983 hadi mwezi Octoba 15 1987 baada ya mapinduzi ya kijeshi dhidi ya Major Dr Jean Baptiste yakiongozwa na Blaise Compaore na kuwa Rais wa TANO wa VOLTA YA JUU au BURKINA FASO


Thomas Sankara aliyejulikana kama Che – Guevara wa Afrika alianzisha Program mbalimbali za kijamii na kiuchumi kuleta mabadiliko katika nchi za afrika. Alibadilisha Upper Volta na kuwa Burkina Faso (land of Upright Men’’)


Alianzisha kampeni ya kuboresha Elimu na kutanua Huduma za Afya kwa watu wa Burkina Faso hasa kwa watoto walio athirika na magonjwa ya Uti wa mgongo , Homa ya majano na kampeni ya upandaji wa miti kitaifa takribani Milioni kumi.


Thomas Redistributed the land from feudal landlords to peasants suspending rural taxes and Domestic rents, established an ambitious road and rail construction program called “tie the nation together”


*His commitment to women’s rights led him to outlaw female genital Mutilation, forced Marriages and Polygamy.


Aliongeza idadi ya wanawake katika serikali yake, kupinga tohara kwa wanawake, kuwataka wanawake waliopata mimba wakiwa mashuleni kuendelea na masomo.

Thomas sankara Taa iliyozimika gafla akiwa na umri mdogo wa miaka 38 ndoto zake za kuifanya Burkina Faso kuwa taifa lenye uchumi mpana, serikali inayotoa haki kwa watu wote, zilifutika mapema sana tarehe 15 mwezi wa Kumi 1987 baada ya kuuawa na Rafiki yake Blaise Compaure na washirika wake. Wiki moja kabla ya kuuawa alisema maneno haya... “While Revolutionaries as individuals can be murdered, you cannot kill Ideas”
Afrika itakukumbuka Daima Thomas Sankara Pumzika kwa amani ya Bwana. FIKRA NA MAWAZO YAKO VITAISHI DAIMA
“Father land or Death, we will win”


“He who feeds you, Controls you”

The revolution and women’s liberation go together. We do not talk of women’s emancipation as an act of charity or because of a surge of human compassion. It is a basic necessity for the triumph of the revolution. Women hold up the other half of the sky. Thomas Sankara Thomas knew how to show his people that they could become dignified and proud through will power, courage, honesty and work. What remains above all of my husband is his integrity. Mariam Sankara, Thomas' widow

Che Guevara taught us we could dare to have confidence in ourselves, confidence in our abilities. He instilled in us the conviction that struggle is our only recourse. He was a citizen of the free world that together we are in the process of building. That is why we say that Che Guevara is also African and Burkinabè. Thomas Sankara



******************************END******************************
 

Attachments

  • images 1.jpg
    images 1.jpg
    8.1 KB · Views: 363
  • images 2.jpg
    images 2.jpg
    9.7 KB · Views: 372
  • images 3.jpg
    images 3.jpg
    6.4 KB · Views: 355
Though the Burkina Faso dictator who assasinated you has refused to give Burkinabes a day ( 15th Oct) to honour you. We africans we remember and honour you because 15th Oct is the day the hope you instilled on us was taken away. I hope you spoke with Mwl Nyerere since a day before yours it was his day God took him away from us so that we can control our destiny. You must have told him how Tanzania has become Grandma's farm ( shamba la bibi). MY QUESTION TO YOU AND MWL: can you guys come back at least to tell our leaders to take a small salary because during glorius days of you and Mwl you took a small salary? I know you got the message of the dictator after he assasinated you formed a corruption commision but to find that you used to receive $450 a month and you had used freezer, one motorcycle and 2 guitar. Mwalimu will tell that it was the Army that built a good Butiama
 

Attachments

  • sankara.jpg
    sankara.jpg
    28.6 KB · Views: 515

Similar Discussions

Back
Top Bottom