Leo asubuhi nimeongea na mmoja wa wasaidizi wa Mh. Nyimbo aliyekuwa mgombea ubunge wa Njombe magharibi kwa tiketi ya CDM na kuhujumiwa na CCM kwa maelekezo ya Anna Makinda na Pindi Chana (Viti maalum Njombe CCM) kuwa pamoja na dhamira ya kupinga matokeo mahakamani. Mh Nyimbo ameamua kufanya yafutayo.
1. kugharimia ufunguzi wa matawi ya CDM vijiji vyote 104 vya jimbo lake ndani ya wiki mbili toka sasa. Gharama kwa kiasi kikubwa atchangia yeye kwa kuwashirikisha wananchi wake.
2. Ameweka makadirio ya kuandikisha wanachama wasiopungua 5000 kwa kipindi hicho cha wiki 2 na kuunda safu imara ya uongozi toka msingi mpaka jimbo/Wilaya
NB.Mheshimiwa anastahili pongezi kwa sababu kwa miak yake ambayo ni zaid ya 60 ni wazi anatuandalia sisi vijana mazingira mazuri ya kupata fursa za kushiriki siasa sasa na baadae.
WITO: Wadau hasa chadema Makao makuu muwezesheni kwa vfaa kama vile kadi, katiba na bendera kwa watu wenye moyo kama ni wachache katika jamii. Aidha Cahdema mkoa wa Iringa kupitia kwa mbinge wa viti maalum na Mjumbe wa kamati kuu Bi Chiku Abwao mpeni tafum mzee huyu ili mwaka 2015 tuisambaratishe CCM Mkoa wa Iringa na Njombe
1. kugharimia ufunguzi wa matawi ya CDM vijiji vyote 104 vya jimbo lake ndani ya wiki mbili toka sasa. Gharama kwa kiasi kikubwa atchangia yeye kwa kuwashirikisha wananchi wake.
2. Ameweka makadirio ya kuandikisha wanachama wasiopungua 5000 kwa kipindi hicho cha wiki 2 na kuunda safu imara ya uongozi toka msingi mpaka jimbo/Wilaya
NB.Mheshimiwa anastahili pongezi kwa sababu kwa miak yake ambayo ni zaid ya 60 ni wazi anatuandalia sisi vijana mazingira mazuri ya kupata fursa za kushiriki siasa sasa na baadae.
WITO: Wadau hasa chadema Makao makuu muwezesheni kwa vfaa kama vile kadi, katiba na bendera kwa watu wenye moyo kama ni wachache katika jamii. Aidha Cahdema mkoa wa Iringa kupitia kwa mbinge wa viti maalum na Mjumbe wa kamati kuu Bi Chiku Abwao mpeni tafum mzee huyu ili mwaka 2015 tuisambaratishe CCM Mkoa wa Iringa na Njombe