Thomas Muller, Raumdeuter wasamehe hawakujui

Pele was just 17 hiyo 1958, with him or without him, Brazil wangechukua ule ubingwa. Ndiyo maana 1962 bila yeye walichukua.

Sikatai ubora wake, lakini ni lazima kutambua kwamba alikuwa na wachezaji ambao binafsi walikuwa na uwezo, na walithibitisha hilo, kwamba bila yeye wanaweza.

Usichanganye success ya clubs na mataifa, club inaweza kununua mchezaji wa taifa lolote lile, ila taifa linatakiwa kutumia wachezaji wale tu wa taifa lake.

Class ya 1992 ilikuwa muda wote inapewa backup ya talents, kina Andy Cole, Dwight Yorke na wengine walikuwa added kwenye hiyo team, siyo sawa na taifa.
Pia mkuu kama pele he was avarage player ni wazi tungeona hana uhakika wan namba lakini kuna wachezaji wakubwa tu aliwapiga benchi akina jose altafini ambaye alikuwa moto sana na ndio maan 1962 akakataa kuchezea brazil akaicheza world cup na italy bado unasemaje mkuu?
 
Mkuu how wangequalify next stage baada ya nusu fainali bila hattrick yake dhidi ya france?????????? Bado pele kafunga goli 2 fainali na kutoa asist kwa vava katika usnindi wa 5-2 mkuu unasema nini?
Au tuanze kuanalyse mechi baada ya mechi????

Yani 62 ndio utaniambia pele hajaperfom kisa injury na bado group stage alifunga magoli na asist before kuumia ila 1958 alikuwa ni mtu mwingine mkuu

Okay, nikubaliane na wewe kwamba Pele ndiye chanzo cha wao kuchukua hiyo 1958, bila yeye wasingechukua.

Je, 1962 walichukua bila kutegemea msaada wake kwa kiasi kikubwa, una amini bila Pele kuwapa 1958 wasingepata 1962?
 
Pia mkuu kama pele he was avarage player ni wazi tungeona hana uhakika wan namba lakini kuna wachezaji wakubwa tu aliwapiga benchi akina jose altafini ambaye alikuwa moto sana na ndio maan 1962 akakataa kuchezea brazil akaicheza world cup na italy bado unasemaje mkuu?

Pele was one of the best player, probably of all time. Hili halina ubishi.

Pia, Pele was very lucky to be surrounded with generational talents.

Hakuna mahali nimesema Pele ni average player, he was the best, nilichosema ni kwamba he also had the best teammates.
 
Okay, nikubaliane na wewe kwamba Pele ndiye chanzo cha wao kuchukua hiyo 1958, bila yeye wasingechukua.

Je, 1962 walichukua bila kutegemea msaada wake kwa kiasi kikubwa, una amini bila Pele kuwapa 1958 wasingepata 1962?
Naamini mkuu yan pele si tu aliwasaidia kuchuka world cup 1958 ila aliibadilisha brazil kiujumla in terms of confidence

Brazil iliyolose na hungary 1954 ilikuwa na hali mbaya mkuu

Pia ndio maana hata uyo key player wa 1962 ambaye ni manuel fransisco dos santos Garincha 1958 alikwepo na hakuperfom kiivo lakini 1962 uzeeni kabisa akaja lufanya makubwa zaidi
 
Pele was one of the best player, probably of all time. Hili halina ubishi.

Pia, Pele was very lucky to be surrounded with generational talents.

Hakuna mahali nimesema Pele ni average player, he was the best, nilichosema ni kwamba he also had the best teammates.
Shida kauli zako ndio zinamfanya awe avarage kwamba awepo asiwepo bado wangechukua tu means hamna chochote alifanya huku mtu alipambana kufa kupna 1958 af kama unavyojua ukifanikiwa kitu confidence inaongezeka na ndio kilichosababisha brazil aperfom vizur 1962
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom