Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 612
Leo gazeti la Thisday lina story "Manji named in EPA scandal" lakini baada ya kulikosa mitaani leo, nimekwenda katika mtandao na kukuta kuna toleo la August 14, 2008, kabla ya kwenda Idara ya Habari Maelezo na kuomba nakala kwa ajili ya kusoma.
Nimenukuu sehemu ya kwanza tu ya habari hiyo ikisema:
Sasa tujiulize, THISDAY wamekumbwa na nini? Au ndio wamechoka ama wamezimwa, au kuna tatizo la mtandao kama la Mwanahalisi?
Nimenukuu sehemu ya kwanza tu ya habari hiyo ikisema:
A PROMINENT local business tycoon Yusuf Manji is alleged to have been one of the mystery beneficiaries of more than 40bn/- paid to the controversial Kagoda Agriculture Limited company through the now-infamous external payment arrears (EPA) account scam at the Bank of Tanzania during 2005/06, it has been revealed.
Sasa tujiulize, THISDAY wamekumbwa na nini? Au ndio wamechoka ama wamezimwa, au kuna tatizo la mtandao kama la Mwanahalisi?