Yahya Mohamed
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 270
- 317
Mapendekezo: Mchakato wa Upatikanaji wa Katiba Mpya uweje? Ni dhahiri katiba mpya haiepukiki kwa sasa. Utaratibu upi utasaidia kupatikana Katiba itakayokidhi mahitaji ya Watanzania.
Shiriki katika mjadala huu kwa maoni yako ikiwa ni sehemu ya pili na ya mwisho mpaka hapo utakapoandaliwa tena mjadala huu.
Wageni waalikwa wanatarajiwa kuwa wahadhiri wa Kitivo cha sheria kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino na bado jitihada zinafanyika kumpata Jaji Mstaafu Joseph Warioba Jijini DSM. Profesa Shivji yupo Nje ya Nchi.
Shiriki katika mjadala huu kwa maoni yako ikiwa ni sehemu ya pili na ya mwisho mpaka hapo utakapoandaliwa tena mjadala huu.
Wageni waalikwa wanatarajiwa kuwa wahadhiri wa Kitivo cha sheria kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino na bado jitihada zinafanyika kumpata Jaji Mstaafu Joseph Warioba Jijini DSM. Profesa Shivji yupo Nje ya Nchi.