Yahya Mohamed
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 270
- 317
WanaJF
Nichukue fursa hii kwanza kuwatakia Heri ya X-mas na pia kuendelea kushukuru kwa michango yenu Adhimu. Kwa kuzingatia mawazo ya Wadau, ninapost mapema mada ya wiki hii kuwapa muda kufanya utafiti wa Kina ili kuja na takwimu sahihi na hoja zilizoshiba kwa masilahi ya Umma.
Mada itakayojadiliwa ni ''Kuna Ulazima gani kwa Askari wa Jeshi la Polisi kutumia Nguvu za ziada wakati wa kuwakamata watuhumiwa au Wahalifu''. Matukio ya karibuni ni hili la Mbunge wa Arusha Godbless Lema na Shabiki wa Soka aliyengia uwanjani wakati wa mechi ya Fainali ya CECAFA Challenge kati ya Kilimanjaro Stars na IVORY COAST:
Wangeni watarajiwa
IGP - Said Mwema
Wakili Harold Sungusia - HLRC
Mwanza
Patrobas - SAUT
Political Analyst na Activist ICODM - Magoiga Samweli Nchagwa
Merry X-MAS and Happy New Year
Naomba Kuwasilisha
Yahya M
Nichukue fursa hii kwanza kuwatakia Heri ya X-mas na pia kuendelea kushukuru kwa michango yenu Adhimu. Kwa kuzingatia mawazo ya Wadau, ninapost mapema mada ya wiki hii kuwapa muda kufanya utafiti wa Kina ili kuja na takwimu sahihi na hoja zilizoshiba kwa masilahi ya Umma.
Mada itakayojadiliwa ni ''Kuna Ulazima gani kwa Askari wa Jeshi la Polisi kutumia Nguvu za ziada wakati wa kuwakamata watuhumiwa au Wahalifu''. Matukio ya karibuni ni hili la Mbunge wa Arusha Godbless Lema na Shabiki wa Soka aliyengia uwanjani wakati wa mechi ya Fainali ya CECAFA Challenge kati ya Kilimanjaro Stars na IVORY COAST:
Wangeni watarajiwa
IGP - Said Mwema
Wakili Harold Sungusia - HLRC
Mwanza
Patrobas - SAUT
Political Analyst na Activist ICODM - Magoiga Samweli Nchagwa
Merry X-MAS and Happy New Year
Naomba Kuwasilisha
Yahya M