This One is 4 You. Tengeneza Pesa Kwa Kumiliki E-Store Kama Yangu na Uuze Kitu Chochote Unachotaka. No Time to Waste. And Yes, It is Very Affordable

GLOBAL CITIZEN

JF-Expert Member
Jun 5, 2014
767
1,655
Greetings.

Kama kawaida nipo hapa kukupatia maarifa yatakayokusaidia kupata kitu cha kufanya na mwisho wa siku unatengeneza pesa.

Leo nataka nikuonyeshe jinsi unavyoweza kuwa na Online Store yako simple (sio dropshipping) ambayo utauza kitu chochote unachotaka ilimradi unafahamu wateja wapo.

Kwa mfano mimi e-Store yangu nauza ujuzi wangu kama mkufunzi wa online business.

Kila kitu nimepangilia katika mpango mzuri kwahiyo client akija kwenye duka langu anaangalia Course anayotaka kununua na ataweza kufanya hivyo kwa kutumia Mpesa, Tigopesa, Airtel Money.

Na hii process yote ni automated.

Yaani kila kitu unakifanye mwenyewe unapotaka kununua.

Angalia mfululizo wa hizi screenshot utaelewa.

1 •
IMG_6408.JPG



Hapo client ametembelea Store yangu. Jinsi inavyoonekana.

Unaweza ona baadhi ya Course nazouza.

Sasa clinet akichagua Course anayopenda ata-click na itampeleka picha number mbili inayozungumzia product details.

Hapa client ataelewa course inajumuisha vitu gani na kipi anaweza kuachieve.

2 •
IMG_6416.JPG




Baada ya hapa ataendelea kwa ku-click na atapelewa sehemu ya CheckOut kama inavyoonyeshwa katika picha number tatu.

3 •
IMG_6417.JPG




Baada ya hapa mteja ataendelea hadi sehemu itayaomtaka kuingiza Email yake

Angalia number picha number 4.

4 •
IMG_6418.JPG



Baada ya hapa sasa ni wakati mteja kwenda kufanya malipo kwa njia ya offline. Yaani ataona number za Mpesa za kufanyia malipo.

Angalia picha number tano

5 •
IMG_6419.JPG



Akikamilisha kufanya malipo mteja atapokea ujumbe kuwa amefanya malipo na punde malipo yake yatakdhinishwa.

Angalia picha number 6

6 •
IMG_6421.JPG



Baada ya kupata ujumbe huu Pia mteja atapokea automatic email ikionyesha kweli amefanya malipo.

Angalia picha numer 7

7 •
IMG_6423.JPG



Lakini pia na wewe mmiliki wa Store utapokea email kukujulisha order imeingia.

Angalia picha number 8

8 •
IMG_6425.JPG



Baada ya hapa mteja atapokea Full Course katika Email yake na tajipatia darasa bila kusumbuana na mtu akiwa ametulia popote pale Tz huku wewe ukivuta chapaa yako safi.

View attachment 1229969


Ok.

Hapo nimeonyesha mfano wa e-Store yangu lakini hii unaweza ukafanya hata wewe...

1 • mwalimu kwaajili ya wanafunzi wako waweze kununua mafunzo yako katika somo fulani.

2 • wewe mama wa nyumbani unayejua sana kupika na unaweza kuandaa Course ya mapishi fulani kwa bei ndogo. Trust me people are willing to buy anything iwapo utafahamu mbinu zakuuza unachouza.

3 • wewe unayeweza kufunusha lugha ya kigheni kwa watanzania unaweza andaa Course yako na kuuza mara moja kwenye e-Store kama hii ya kwangu.

4 • yani unaweza kuuza anything of value.

Ok najua sasa unajiuliza sasa nitapataje watu waku tembelea Store yangu na kununua?

Ok, cool.

Kuhusu swali hilo pamoja na kupata Store kama hii nafundisha kwa malipo. Hapa maana yake nitakusaidia kila kitu kuanzia.....

• jinsi yakuboresha idea yako na kuifanya iuzike.

• jinsi yakuandaa course zitakazomfanya mteja kweli apate value.

• kuunda store

• jinsi yakuwafikia potential customer.

Hapo vipi?

Hiyo si ipo fair?

Au bado unataka nikufanyie kila kitu bure?

Ok. Nitumie email makingmoneyonlinetz@gmail.com nione nakusaidiaje.

Kumilliki Store kama hii na kuanza kuuza Course zako ni mwanzo mzuri wa wewe kuunda kampuni yako ya mtandaoni ambayo si tu ipo na potential ya kuwa kubwa na kukupatia pesa lakini pia itakupatia sana freedom.

Unafanya kila kitu ukiwa in the comfort of your house.

Ok ngoja niishie hapa kwa leo.

Tukutane tena kwenye darasa amazing kama hili soon.
 
Thought one

Hii opportunity ni nzuri kwa wote wanaodhani wanauwezo wakufundisha maarifa fulani na wanataka kufanya hivyo katika njia ya kisasa isiyotumia muda wao mwingi kwasababu baadhi ya watu wapo na kazi nyingine.

Pia gharama ya kuendesha Store ya namna hii haizidi Tsh 30,000 kwa mwezi.

Kama utauza Tsh 5,000 tu kwa siku (this is minimum number) hiyo maana yake kwa mwezi ni Tsh 150,000. Tayari umesharudisha gharama ya kuendesha Store.

Zaidi ya hapo hakuna gharama nyingine yoyote.

What do you think?

Does this sound like a good idea for you?

Let me know in the comment below
 
sio muhumu lkn nimambo ya kiufundi, kama umetumia code kutengeneze hiyo website yako tumia Random int kuweka order id, kwenye btn badili rangi kwenye UI rangi nyeusi sio nzuri sana tumia
Code:
#7cbd1e
. alafu kwenye payment badili mfumo sio mpaka user akutumia picha ya malipo tafuta developer akutengenezee payment system,
 
Huyu jamaa ni tapeli almaarufu kama Mixed frank(frank frain).ana id nyingi sana hapa jamii forum,na topics zake zote huwa zinagusia maswala ya online money making,atakushawishi kwa kila njia umtumie pesa ili akufundishe juu ya online stores ama akutengenezee online store,kosa lako ni pale tu utakapomtumia pesa hatokupa hiyo huduma na ndo ushatapeliwa hivyo,nasema hivi kwa sababu alishawahi kututapeli karibia asilimia 90 ya members kwenye group lake la whatsapp kwa kutuahidi kututengenezea online store tupige pesa dah.akapotea mazima akaleft kabisa na kila ambaye alimfuata inbox alimblock,usimuamini huyu mtu ni TAPELI.na uongozi wa jamii forum naombeni mdeal na huyu mtu ana id nyingi sana hapa kwenye mtandao wenu.
 
Huyu jamaa ni tapeli almaarufu kama Mixed frank(frank frain).ana id nyingi sana hapa jamii forum,na topics zake zote huwa zinagusia maswala ya online money making,atakushawishi kwa kila njia umtumie pesa ili akufundishe juu ya online stores ama akutengenezee online store,kosa lako ni pale tu utakapomtumia pesa hatokupa hiyo huduma na ndo ushatapeliwa hivyo,nasema hivi kwa sababu alishawahi kututapeli karibia asilimia 90 ya members kwenye group lake la whatsapp kwa kutuahidi kututengenezea online store tupige pesa dah.akapotea mazima akaleft kabisa na kila ambaye alimfuata inbox alimblock,usimuamini huyu mtu ni TAPELI.na uongozi wa jamii forum naombeni mdeal na huyu mtu ana id nyingi sana hapa kwenye mtandao wenu.

Stop being so stupid.

Naona ume-comment hivi kwenye thread yangu nyingine.

Hapa ni knowledge tu.

Hayo mambo yako mengine peleka kwenye thread yako.

Mimi ni very honest person.

Usidhani kila mtu anayeandika kuhusu Online Business hapa ni hao watu unaokutana nao kuko ukipokutana nao.

Mimi nipo hapa JF kwa muda mrefu. And I know many people here.
 
Hapana mkuu.mi sinaga payo na watu wa aina hii,kwamba anifundishe kitu online ambacho kitanipa pesa ilihali anataka elfu10 yangu!

So what are you doing here on my thread?

Acha kuandika ujinga.

I’m working with people here on JF. I’m
Very honest person.

Kama unadhani post zangu hazitoi value kwako you have choice to not read them.

Is that hard thing to do for you?
 
We jamaa ni tapeli acha kudanganya watu kwa kutumia multiple ids,ushahidi nimeshatoa kwenye thread yako nyingine jinsi ulivyonitapeli mwaka jana mwezi november.store yangu mpaka leo sijaipata bac rudisha pesa yangu elfu 90.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom