Madela Wa- Madilu
JF-Expert Member
- Mar 24, 2007
- 3,062
- 731
Sijui ni Mwanzo wa mwisho au ni mwisho mwishoni?!
Sijui ni Mwanzo wa mwisho au ni mwisho mwishoni?!
...Usishangae akitoka Mbeya kesho anaruka zake US au UK kwenda kusafisha macho maana vumbi nyingi sana alikumbana nayo kwenye ziara ya Mbeya....Tunasubili kuandaa maandamano ya kumpongeza Rais kwa kumaliza siara yake MBY salama.
I doubt if anxiety to see someone can turn into stonning the same person you were eager to see.
Kikwete and your buddies, stop pretending that you don't see what is going on. The people are angry. Your obedient servants are tired of your incompetence and corrupt leadership. If you dont change, you shouldn't be supprised to continue losing elections, even to idiots.
I doubt if anxiety to see someone can turn into stonning the same person you were eager to see.
Kikwete and your buddies, stop pretending that you don't see what is going on. The people are angry. Your obedient servants are tired of your incompetence and corrupt leadership. If you dont change, you shouldn't be supprised to continue losing elections, even to idiots.
Duh kweli Rweyemamu msanii, anashangaa nini sasa, anadhani kwa yeye kuwa na uhakika wa mshahara wake wa mwezi + marupurupu + ulinzi akiwa na sehemu nzuri ya kulala ndiyo kila mtanzania? a wapi na kwa wadanganyika wengine sivyo hivyo mambo ni tofauti can you immagine fedha hakuna za kununulia madawati lakini za kumfadhili TOSS kusimamia wizi wa kura Tarime zipo halafu eti Kurugenzi ya mawasiliano haijalisemea hili KUGUSWA TU kakutana na wanahabari, naamini hii ni rasharasha tu, mvua bado wajipange maana hali si nzuri kwa wananchi kama wanavyodhania wao.
Natoa hoja.
Hili la hawa Wazee aliyezembea sio Kikwete ni Mwalimu. Limekaa muda mrefu, rekodi nyingi zimepotea, waliokwisha lipwa wanadai walipwe tena kutokana mkanganyiko huu wa kumbukumbu, wengine wala hawakuwahi kuwa waajiriwa wa EAC, watumishi wa hazina nao wanatumia vurugu hii kujineemesha,.....
Mahesabu kama haya ya milioni 60, milioni 100,.... za mwaka 1977 ndio yanayofanya zoezi la ulipaji kuwa utata mtupu!Unajua nini MamaParoko, hata tunaostafu sasa hivi, hakuna anayelipwa kiasi hicho!
Unajua nini MamaParoko, hata tunaostaafu sasa hivi, hakuna anayelipwa kiasi hicho!
mag3,
..kama ni mwaka 1985, basi walikuwepo Mwinyi,Warioba,na Msuya.
..Mzee Cigwiyemwisi John Malecela alikuwa benchi wakati huo.
..lakini kipindi hicho taifa lilikuwa na matatizo makubwa sana ya kifedha.
..utakumbuka ile habari ya nchi kushindwa hata kugomboa meli moja ya mafuta toka bandarini.
..kitu cha kujiuliza ni kwanini hali ya kifedha ilipotengemaa wastaafu hawa hawakulipwa?
Kisa msafara wa Raisi kikwete Kupigwa mawe kinanikumbusha kisa kimoja kwenye Biblia amabapo wapagani kama mimi waliokuwa wakimpeleka Yesu kusulubiwa walimvalisha vazi la kifalme na kumwambia yeye ni mfalme wa wayahudi halafu wakaanza kumtemea mate na kumpiga vibao na mijeledi barabara mfululizo non stop.
Na Raisi Kikwete naye alipofika Mbeya wapagani wanyakyusa wa Mbeya wakamvalisha vazi la Kichifu na kumtangaza rasmi kuwa yeye ni Chifu Mwangupili halafu wapagani wanyakyusa hao hao wakamtandika Chifu huyo na mawe barabara mfululizo nonstop na msafara wake na kumfanya kuwa chifu wa kwanza wa kinyakyusa msafara wake kupigwa mawe na waliomvisha vazi la kichifu.
Hii lazima iwekwe kwenye rekodi kuwa kuna Chifu wa Kinyakyusa alishawahi kushambuliwa kwa mawe kwenye maktaba za wanyakyusa.
wapagani hawatabiriki.Siku ingine watu wakitaka kumvisha vazi la kichifu akumbuke yaliyopata Yesu akatae.
mag3,
..ungekuwa specific na timeline tungeweza kujua wahusika wa suala hili.
..i didnt know kwamba Cigwiyemwisi Malecela alitamka kwamba serikali haina mpango wa kuwalipa!!
..the impression i had ni kwamba probably serikali had some pressing needs, wakaamua kutumia fedha hizo, wakiamini kwamba baadaye watakuja kuwalipa wastaafu wa EAC.
..nashukuru kwa kutupa habari hii. imenifungua macho.
Tujisenti,
..ukweli uko palepale kwamba amepigwa mawe.
..haijapata kutokea ktk historia ya Tanzania.