na mie nasubiria tu za mzee wangu, kulipa washalipa ndiyo lakini hawakulipa inavyotakiwa ndio maana malalamiko yapo, wanadhania wanaweza dhulumu jasho la watu hivi hivi, mie mzee hadi anakaribia kufa aliniambia mahesabu ya haki zake zote yanakaribia m.100 kwa rate za wakati huo, na hiyo ilikuwa miaka 6 iliyopita.
Mahesabu kama haya ya milioni 60, milioni 100,.... za mwaka 1977 ndio yanayofanya zoezi la ulipaji kuwa utata mtupu!