Natamani siku moja niwe na biashara yangu alafu niwe napata kipato kupitia biashara hiyo na huku nina elimu yangu ya udaktari nikitibu watu kwa bei karibu na bure kama msaada ili kuchangia huduma hiyo iendelee.
Natamani siku moja niwe na biashara yangu alafu niwe napata kipato kupitia biashara hiyo na huku nina elimu yangu ya udaktari nikitibu watu kwa bei karibu na bure kama msaada ili kuchangia huduma hiyo iendelee.
Ipo siku nitatoboa tu
You never know mkuu kwa Mungu kila kitu kinawezekana tuNatamani siku moja niwe na biashara yangu alafu niwe napata kipato kupitia biashara hiyo na huku nina elimu yangu ya udaktari nikitibu watu kwa bei karibu na bure kama msaada ili kuchangia huduma hiyo iendelee.
Ipo siku nitatoboa tu
Mungu mwenyezi akujaalie kila lililojema ktk hitaji lako, uishi na kutenda hilo lililo chemka ktk nafsi yako na Mungu atakuonyesha njia njema ya kutenda hilo, ubarikiwe sana.Natamani siku moja niwe na biashara yangu alafu niwe napata kipato kupitia biashara hiyo na huku nina elimu yangu ya udaktari nikitibu watu kwa bei karibu na bure kama msaada ili kuchangia huduma hiyo iendelee.
Ipo siku nitatoboa tu
DK anamuangalia mgonjwa wake kwa makini na inampa nafisi kumkagua vyema , inampa moyo mgonjwa anapata faraja sana hata nafuu inakuja haraka kwa kweli, barikiwa sana madaktari
Itakuwa tuNatamani siku moja niwe na biashara yangu alafu niwe napata kipato kupitia biashara hiyo na huku nina elimu yangu ya udaktari nikitibu watu kwa bei karibu na bure kama msaada ili kuchangia huduma hiyo iendelee.
Ipo siku nitatoboa tu