This is the best method on how to enlarge your penis with natural herbs

computerkiddy

JF-Expert Member
Oct 1, 2015
488
532
kuna watu wamekuwa wakihangaika kwa waganga wa tiba asilia na wengine mahospitalini kutafuta dawa za kubadili maumbile yao kuwa shababi bila mafanikio........wengi wao wameishiwa kutapeliwa na wengine wameishiwa kupata maumbile ya kupitiliza mahitaji

kuna wengine wanaamini kwamba hakuna dawa inayoweza kufanya kazi ya kuongeza maumbile ya wanaume kutokana na propaganda zinazosambazwa na baadhi ya matabibu kwenye vyombo vya habari ukweli ni kwamba dawa zipo tena hazina madhara kwa binadamu

dawa hizo zinaweza kutengenezwa kwa vyakula tunavyotumia kila siku na vinavyopatikana kwenye mazingira yanayotuzunguka

tafuta vitu vifuatavyo;

1..Pilipili Baridi vijiko viwili
2.Unga wa Pilipili mtama Nyeupe kijiko kimoja
3.Kibiriti upele kijiko kimoja
Changanya vizuri na asali mbichi ya nyuki.

namna ya kutumia

1.safisha maungo yako yako ya kiume kwa maji vuguvugu dakika 3 mpaka 5
2.chua/massage maungo yako ya kiume kwa mchanganyiko huo wa asali kwa dakika 7
3. rudia kufanya massage ya maungo yako kwa siku kadhaa.utaanza kuona mabadiliko ya saizi ya maungo yako
4.Endelea na zoezi mpaka itakapofikia saizi unayotaka.ukiona hapa inatosha acha dozi

tumia elimu hii kuwaelekeza wenzako namna ya kutengeneza dawa hii bure.......

nb; hivyo vifaa vyote vinapatikana kwenye maduka ya dawa za asili kwa dar ni rahisi kupata kariakoo

gonga like na njoo utoe ushuhuda kama dawa imekusaidia
 
kuna watu wamekuwa wakihangaika kwa waganga wa tiba asilia na wengine mahospitalini kutafuta dawa za kubadili maumbile yao kuwa shababi bila mafanikio........wengi wao wameishiwa kutapeliwa na wengine wameishiwa kupata maumbile ya kupitiliza mahitaji

kuna wengine wanaamini kwamba hakuna dawa inayoweza kufanya kazi ya kuongeza maumbile ya wanaume kutokana na propaganda zinazosambazwa na baadhi ya matabibu kwenye vyombo vya habari ukweli ni kwamba dawa zipo tena hazina madhara kwa binadamu

dawa hizo zinaweza kutengenezwa kwa vyakula tunavyotumia kila siku na vinavyopatikana kwenye mazingira yanayotuzunguka

tafuta vitu vifuatavyo;

1..Pilipili Baridi vijiko viwili
2.Unga wa Pilipili mtama Nyeupe kijiko kimoja
3.Kibiriti upele kijiko kimoja
Changanya vizuri na asali mbichi ya nyuki.

namna ya kutumia

1.safisha maungo yako yako ya kiume kwa maji vuguvugu dakika 3 mpaka 5
2.chua/massage maungo yako ya kiume kwa mchanganyiko huo wa asali kwa dakika 7
3. rudia kufanya massage ya maungo yako kwa siku kadhaa.utaanza kuona mabadiliko ya saizi ya maungo yako
4.Endelea na zoezi mpaka itakapofikia saizi unayotaka.ukiona hapa inatosha acha dozi

tumia elimu hii kuwaelekeza wenzako namna ya kutengeneza dawa hii bure.......

nb; hivyo vifaa vyote vinapatikana kwenye maduka ya dawa za asili kwa dar ni rahisi kupata kariakoo

gonga like na njoo utoe ushuhuda kama dawa imekusaidia
Basi sawa ngoja Tusubili mirejesho
 
kuna watu wamekuwa wakihangaika kwa waganga wa tiba asilia na wengine mahospitalini kutafuta dawa za kubadili maumbile yao kuwa shababi bila mafanikio........wengi wao wameishiwa kutapeliwa na wengine wameishiwa kupata maumbile ya kupitiliza mahitaji

kuna wengine wanaamini kwamba hakuna dawa inayoweza kufanya kazi ya kuongeza maumbile ya wanaume kutokana na propaganda zinazosambazwa na baadhi ya matabibu kwenye vyombo vya habari ukweli ni kwamba dawa zipo tena hazina madhara kwa binadamu

dawa hizo zinaweza kutengenezwa kwa vyakula tunavyotumia kila siku na vinavyopatikana kwenye mazingira yanayotuzunguka

tafuta vitu vifuatavyo;

1..Pilipili Baridi vijiko viwili
2.Unga wa Pilipili mtama Nyeupe kijiko kimoja
3.Kibiriti upele kijiko kimoja
Changanya vizuri na asali mbichi ya nyuki.

namna ya kutumia

1.safisha maungo yako yako ya kiume kwa maji vuguvugu dakika 3 mpaka 5
2.chua/massage maungo yako ya kiume kwa mchanganyiko huo wa asali kwa dakika 7
3. rudia kufanya massage ya maungo yako kwa siku kadhaa.utaanza kuona mabadiliko ya saizi ya maungo yako
4.Endelea na zoezi mpaka itakapofikia saizi unayotaka.ukiona hapa inatosha acha dozi

tumia elimu hii kuwaelekeza wenzako namna ya kutengeneza dawa hii bure.......

nb; hivyo vifaa vyote vinapatikana kwenye maduka ya dawa za asili kwa dar ni rahisi kupata kariakoo

gonga like na njoo utoe ushuhuda kama dawa imekusaidia
UJICHUE NA PILIPILI!!!
 
We unataka kuua watu, kwel kazi ipo, pilipili, hata kama ningekuwa na mboo ndogo, si pilipili mkuu, marejesho hapa yatakuwa ni lawama tu..

Juzi kati nilipiga msosi pilipili kama muhindi, si nikajisahau wakati nakojoa dudu nikalishika na mkono wa wenye pilipili.. Haielezeki khabari yake.. Kitu kinawaka moto, si feni si maji ya baridi yaliyonifaa.. Nilifungulia bomba la maji karibia lisaa nakoga tu bafuni
 
The problem is - unless it is reaaally big - most men tend to think their penises aren't large 'enough'!

Sasa shida kubwa sio kuchua pilipili kwenye uume..hapana~~~~shida ipo hapo kwenye KUACHA UNAPOHISI IMEKUWA KUBWA VYA KUTOSHA!

NB: Ukiuangalia uume wako (at relaxed state) kwa kutokea juu mara nyingi utahisi ni mdogo!!!!
 
kuna watu wamekuwa wakihangaika kwa waganga wa tiba asilia na wengine mahospitalini kutafuta dawa za kubadili maumbile yao kuwa shababi bila mafanikio........wengi wao wameishiwa kutapeliwa na wengine wameishiwa kupata maumbile ya kupitiliza mahitaji

kuna wengine wanaamini kwamba hakuna dawa inayoweza kufanya kazi ya kuongeza maumbile ya wanaume kutokana na propaganda zinazosambazwa na baadhi ya matabibu kwenye vyombo vya habari ukweli ni kwamba dawa zipo tena hazina madhara kwa binadamu

dawa hizo zinaweza kutengenezwa kwa vyakula tunavyotumia kila siku na vinavyopatikana kwenye mazingira yanayotuzunguka

tafuta vitu vifuatavyo;

1..Pilipili Baridi vijiko viwili
2.Unga wa Pilipili mtama Nyeupe kijiko kimoja
3.Kibiriti upele kijiko kimoja
Changanya vizuri na asali mbichi ya nyuki.

namna ya kutumia

1.safisha maungo yako yako ya kiume kwa maji vuguvugu dakika 3 mpaka 5
2.chua/massage maungo yako ya kiume kwa mchanganyiko huo wa asali kwa dakika 7
3. rudia kufanya massage ya maungo yako kwa siku kadhaa.utaanza kuona mabadiliko ya saizi ya maungo yako
4.Endelea na zoezi mpaka itakapofikia saizi unayotaka.ukiona hapa inatosha acha dozi

tumia elimu hii kuwaelekeza wenzako namna ya kutengeneza dawa hii bure.......

nb; hivyo vifaa vyote vinapatikana kwenye maduka ya dawa za asili kwa dar ni rahisi kupata kariakoo

gonga like na njoo utoe ushuhuda kama dawa imekusaidia
Wewe usilete balaa kwa watu
 
We unataka kuua watu, kwel kazi ipo, pilipili, hata kama ningekuwa na mboo ndogo, si pilipili mkuu, marejesho hapa yatakuwa ni lawama tu..

Juzi kati nilipiga msosi pilipili kama muhindi, si nikajisahau wakati nakojoa dudu nikalishika na mkono wa wenye pilipili.. Haielezeki khabari yake.. Kitu kinawaka moto, si feni si maji ya baridi yaliyonifaa.. Nilifungulia bomba la maji karibia lisaa nakoga tu bafuni
hahahahahahaha
 
Mambo 10 Muhimu ya kuufanya Uume kuwa na
Afya

Uume (Penis) ni kiungo chenye hisia na muhimu
katika jinsi ya kiume kutokana na nafasi yake
katika mwili.


Wanaume wengi wamekuwa wakitumia kiungo
hicho pasipo kuzingatia utunzaji wake nakuifanya
sehemu hiyo nyeti kuwa chafu na hata pengine
kutoa harufu mbaya kwa kutoifanyia usafi
sawasawa hasa baada ya kushiriki tendo la ndoa
na kujisahidia haja ndogo.


Leo kati mada hii ya afya nitakufahamisha jinsi 10
muhimu za kutunza uume wako:


Usafi kwa asiyefanyiwa Tohara
Watu wengi usahau hata kushindwa kusafisha
ngozi ya juu ya Uume wakati wa kuoga na baada
ya tendo la ndoa na hasa wale ambao bado wana
Ngozi ya juu ya uume (govi) na kusahau
kusafisha eneo la chini yake. Kama una ngozi ya
mbele katika uume (govi), unapaswa kuvuta kwa
chini kwa upole ngozi hiyo na kufua eneo la chini
yake na maji moto. .....

Kama utashindwa kufanya
hivyo utasababisha eneo hilo kuwa na harufu
mbaya na kusababisha kuzaliana kwa bakteria.
Kunawa mikono
Ni lazima kuwa na tabia ya kusafisha uume wako
si tu baada ya kutoka chooni lakini pia kabla.


Osha mikono yako wakati wowote kabla ya
kugusa uume wako. Hii ni kutokana kushika vitu
vingi ambapo kunakuwa na uwezekano mkubwa
wa kutunza kemikali. Pia ni muhimu kama
umekuwa katika kuwasiliana na watu hivyo
uweza kubaki na chembechembe ambazo
zinaweza kusababisha muwasho kwa kushika
pilipili hivyo utajikuna na kusababisha michubuko
katika uume.


Uchunguzi wa Mara kwa Mara
Si tu kama wanawake wenyewe ndio
wanashauriwa kujitegemea kwa kufanyiwa
uchunguzi wa saratani ya matiti na kizazi, Lakini
pia wanaume wanapaswa kuwa na utaratibu wa
kuangalia sehemu zao za siri kama wana uvimbe
wowote na pia kwa ishara ya magonjwa ya zinaa.
Kuchunguza pia shahawa yako kutambua
mabadiliko yoyote katika muonekano au uwepo
wa damu katika uume.


Epuka Majeraha
Uume wako unahitaji ulinzi, upendo na huduma
kutoka kwako sambamba na kuepuka hali
ambazo zinaweza kusababisha majeraha katika
uume. Hii inaweza kutokea kwenye ngono isiyo
salama au punyeto bila kurainisha ngozi.

Pia
kuhakikisha unaepuka kuvaa nguo ya ndani
(chupi) ambayo haibani sana. Ni vyema ukapata
muda wa kukaa bila nguo ya ndani (chupi) ili
kuweka wazi uume na kuepusha msuguano
utakaoweza kuleta madhara.


Kuwa na mwanamke mmoja
Kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja uua uwezo
wako kingono lakini pia kuwa na mwanamke
mmoja kutakusaidia kuwa mwenye tabia njema
na kuwa na nguvu na uwezo mzuri wakati wa
kufanya tendo la ndoa na hasa kabisa kujikinga
na magonjwa ya zinaa.


Kupata muda wa Mapumziko
Hii ni nzuri kwa afya yako kwa ujumla lakini nzuri
hasa kwa uume wako kuwa na afya. Kila wakati
kila unapokuwa umepumzika kwa usingizi mzito,
uume wako utakuwa na uimara kutokana na
kuupumzisha. Hii ni muhimu kwa sababu husaidia
kurejesha sura yake na pia kuongeza muda wa
utendaji kazi wa damu yenye oksijeni.


Kunywa maji
Kuwa na tabia ya kunywa angalau glasi nane za
maji safi. Maji huvuta sumu nje ya mwili wako na
kuruhusu damu kufanya kazi na kuongeza
kukusisimua wakati wa tendo la ndoa.


Uchaguzi wa sabuni ya Kuogea na mafuta
Ni vizuri na muhimu kufanya usafi wa sehemu za
uzazi. Na hata hivyo haipaswi kwenda kuosha na
kuskrabu sehemu za siri kwani ngozi ya uume ni
raini na nyeti. Matumizi ya sabuni ambazo
uondoa vidonda si nzuri kwa kutumia katika
uume na kwa kutumia kama njia ya kurainisha
uume wakati wa tendo la ndoa lakini pia ni
kivutio cha maambukizi. Vizuri kuosha mara mbili
kwa siku na maji ya joto kwa kutumia sabuni za
kawaida


Kwa nini unapaswa kunyoa
Mwanaume unaweza kutoona umuhimu wa
kunyoa kama ilivyo kwa mwanamke lakini ukweli
ni kwamba hata wewe unapaswa kunyoa na
kutumia nyia nyepesi za kunyoa ili kuweka eneo
lako la uzazi laini na safi. hivyo kama kunyoa
mwenyewe kutakuwa na kisingizio mnaweza
kufanya hivyo pamoja kama wanandoa hivyo
mwenza wako akakuweka katika hali ya usafi.
 
Back
Top Bottom