Mpendwa
Member
- Jun 9, 2011
- 56
- 11
Mpaka sasa CCM wametuia yafuatayo ili kushinda igunga
1. Kumtumia rais mstaafu (Mkapa)
2.Usalama wa taifa
3.Polisi
4.Bakwata
5.Mawaziri
6.Rostam
7.kuhonga chakula kwa wanaigungai
8.Kuzuia wapiga kura wasio na vitambulisho kwa baadhi ya maeneo esp kwenye upinzani
9. Kutumia zaidi ya Tsh Bilioni 6
10. Kuwatumia mamluki toka kanda ya ziwa
11. Kutangaza siku moja kabla ya uchaguzi kuwa mgombea wa CDM amejitoa wakati ni uzushi mtupu. nk
SASA WADAU kama hila zote hizi zitaendlea kutumika si itafika mahali watu watatumia pesa zao kuliteka taifa hili? nazidi kuona giza mbele ya Tanzania yetu hii. Sijui wenzangu mnalionaje hili?
MY TAKE: pesa, nguvu ya dola na hata kuwa tayari kuua ili mtu ashinde uchaguzi vinazidi kuinyemelea nchi yetu, where are we heading to?
1. Kumtumia rais mstaafu (Mkapa)
2.Usalama wa taifa
3.Polisi
4.Bakwata
5.Mawaziri
6.Rostam
7.kuhonga chakula kwa wanaigungai
8.Kuzuia wapiga kura wasio na vitambulisho kwa baadhi ya maeneo esp kwenye upinzani
9. Kutumia zaidi ya Tsh Bilioni 6
10. Kuwatumia mamluki toka kanda ya ziwa
11. Kutangaza siku moja kabla ya uchaguzi kuwa mgombea wa CDM amejitoa wakati ni uzushi mtupu. nk
SASA WADAU kama hila zote hizi zitaendlea kutumika si itafika mahali watu watatumia pesa zao kuliteka taifa hili? nazidi kuona giza mbele ya Tanzania yetu hii. Sijui wenzangu mnalionaje hili?
MY TAKE: pesa, nguvu ya dola na hata kuwa tayari kuua ili mtu ashinde uchaguzi vinazidi kuinyemelea nchi yetu, where are we heading to?