EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
Umeniwahi mkuu. Kwa dunia ya leo kumuanika mtoto kwenye mitandao ni kumuweka katika kinywa cha hatari. Watu wana njia nyingi za kuweza kutumia hiyo picha kwa maovu ama kutumia hiyo picha kukudhuru wewe mwenyewe muhusika.Unachomfanyia mtoto sio kabisa. Hii mitandao mkuu kuna mabazazi ya kila aina mlinde mwanao badala ya kufanya showoff za kijinga
Saivi naprocess kibali ba bastola mbili na mbwa mkubwaUnachomfanyia mtoto sio kabisa. Hii mitandao mkuu kuna mabazazi ya kila aina mlinde mwanao badala ya kufanya showoff za kijinga
Mtaani kwangu hapoUsalama wa mtoto umezingatiwa hapo naona yuko juu ya Meza akidondoka kingine why una pombeka mbele ya mtoto
Why unalewa mbele ya mtoto Asubuhi yote hii😬😬😬Saivi naprocess kibali ba bastola mbili na mbwa mkubwa
Mamaa hii ni ya zamani sio leoWhy unalewa mbele ya mtoto Asubuhi yote hii
Hata ungekuwa chumbani hii si sawa yaani wewe umekaa kwenye usalama mtoto umemuweka juu ya meza jinsi anavyo kuangalia huyu mtoto mzuri nadhani anajiuliza huyu ni baba yangu kweli😬😬Mtaani kwangu hapo
OkMamaa hii ni ya zamani sio leo
Hata ungekuwa chumbani hii si sawa yaani wewe umekaa kwenye usalama mtoto umemuweka juu ya meza jinsi anavyo kuangalia huyu mtoto mzuri nadhani anajiuliza huyu ni baba yangu kweli
Sio bar inawezekana ni kaunta ya ndaniMkuu EINSTEIN112 sio poa hii, sio poa zaidi kumpeleka mtoto sehemu zenye pombe as we know tabia za walevi wakishalewa.
Mbona play grounds ni nyingi mjini? Very suitable for kids ila sio hiyo ya kumpeleka mtoto bar.
Umeweka zako picha kama hiyo status WhatsApp mtu anaview anascreenshot anakuja kupost JF