This day wamepotosha picha kumfanya rais aonekane mjinga?

Mwakasege, Kibunango na wengine... Hizo cheki tofauti kabisa, kwanini tunaendelea kusema kwamba, wali edit, sijui walifanyaje? Tujitahidi kuwa makini kidogo... Ni kwamba shughuli ilikua moja ya uzinduzi wa CEO Scholarship Fund, lakini wachangiaji walikua tofauti, na hiyo hundi ya mfano, inawezekana ilitolewa mara ya kwanza na Mafuruki (huyo mswahili) ambayo ilikua ya USD 200,000na baadaye kupokea ya pili kutoka kwa jamaa wa WORLD BANK (MZUNGU) katika hafla hiyo hiyo, na kwa kuwa WB walitoa USD 300,000 wakabadilisha pale katika tarakimu wakasahau pale katika maneno. Sasa basi, kwa kuwa ilikua ni picha inayotoka public, wasaidizi wa Rais ndio waliochemsha na kuja kuzinduliwa na JF. Lakini pia inawezekana kabisa cheki halisi haitoki benki ya EXIM pamoja na kuwa hiyo dummy cheque inaonesha ni EXIM kwa wachangiaji wote wawili. Kwa kifupi mjadala humu ungehamishiwa katika ile thread ya mwanzo ambayo inajadili sababu ya hundi kuwa na makosa na anapewa RAIS
 
haya ni makosa ya kiuandidhi tu. Ila kasheshe ni kwamba fedha zilizochangwa ni $200,000 au 300,000. hapo ndipo kazi ilipo. Lakini juu ya yote wakubwa wote walohusika hawakuwa na hata nafasi ya kuosma maandishi hayo, au ndiyo disgn ya mikataba yetu. kama wengine wanavyofuta kwa kalamu wakiwa ughaibuni? na kuna system gani basi ya kucheki vitu kabla ya kumparade rais wa watu. hizi sifa nyingine za kuibukia mambo ni hatari saa nyingine unaweza kuaibika!
 
Kama ThisDay wamepotosha basi hata Gazeti la Majira wamepotosha. Ifike mahali tuwe tunakubali kukosolewa ili tujifunze usahihi wake kwa wastani Watanzania ni magoigoi sana hata kwa kufikiri, tumeshindwa kuchanganua mikataba tukaingia kichwa kichwa sasa tunavuna makosa yetu. Nasema hivi kwasababu mathalani nchi ya Botswana wao mwekezaji yeyote wanagawana 50% siyo sisi ambapo tunadanganyana mrahaba umefanya hivi terminlogy ambazo wala hazimsaidii mwananchi wa kawaida. Natamani hata leo hii Kikwete bila kujali kwamba hao ni wenzake na walikuwa wote katika mchakato wa uchaguzi awatimue mawaziri wote walio katika orodha ya mafisadi halafu mawaziri wote wenye miradi yao waende wakafanye kazi katika miradi yao, kwani wizarani wanapoteza muda tu.
 
Kama wanakana na hili kuwa Thisday na Majira wamepotosha, CITIZEN wako sahihi basi waTZ tumekwisha. Jambo lipo wazi, CITIZEN inaonekana kabisa wame edit ile picha kuifanya ile 2 iendane na maneno. why hawa watu wanapenda kukataa hata vitu vilivyowazi. Huyu Mwandishi wa CITIZEN anaonekana ni Corrupt na yupo kwa masilahi ya wanasiasa. Habari ipeleke kama ilivyo.

Nasisitiza Thisday and Majira were correct, au mnataka the citizen tuache kuziamini habari zenu hali itakayopelekea tusinunue magazeti yenu yote. acheni kuendekeza njaa na kujipendekeza mnatunyima haki zetu kupata matukio kama yalivyo huku tukilipa hela zetu kununua magazeti yenu. ACHENI UPOTOSHAJI WA HABARI

Wooooooow, that was loud and clear!! Bab'kubwa.
 
Naomba rasmi kuelezea KINACHOFANYIKA. Check ni ya bank moja, lakini watoaji wakiwa wapo zaidi ya mmoja, BANGO (dummy cheque) inawekwa MOJA.

Wa kwanza anaandikiwa anakabidhi, kisha inafutwa na kuandikwa kwa ajili ya wa pili, hivyo hivyo mpaka wa MWISHO.

Kilichotokea ni kuwa baada ya Mufuruki kukabidhi, aliyeandika hakubadili MANENO. Alibadili TARAKIMU tu!!

Ndivyo ilivyofanyika, na ni picha mbili tofauti.

JF tuwe tunafikiria POSITIVELY
 
Naomba rasmi kuelezea KINACHOFANYIKA. Check ni ya bank moja, lakini watoaji wakiwa wapo zaidi ya mmoja, BANGO (dummy cheque) inawekwa MOJA.

Wa kwanza anaandikiwa anakabidhi, kisha inafutwa na kuandikwa kwa ajili ya wa pili, hivyo hivyo mpaka wa MWISHO.

Kilichotokea ni kuwa baada ya Mufuruki kukabidhi, aliyeandika hakubadili MANENO. Alibadili TARAKIMU tu!!

Ndivyo ilivyofanyika, na ni picha mbili tofauti.

JF tuwe tunafikiria POSITIVELY

FD,

Maelezo yako yana make sense, tatizo hapa sio wizi bali ni kushindwa kwa wasaidizi wa JK kutambua kosa hilo.

Sidhani kama mtu atataka kuiba kwa njia kama hiyo, nafikiri wanaosema hivyo ni vijembe tu na sidhani kweli wanaamini hivyo.

JK kaangushwa na wasaidizi wake pamoja na yeye kutaka cheap publicity. Ime backfire lazima yeye pia alaumiwe kwa kujidhalilisha ofisi ya rais na nchi nzima.
 
Hizi ni picha mbili tofauti katika matukio mawili tofauti.
Hata watoaji wa hizo hundi ni tofauti, mmoja mzungu na mwingine Mwafrika. Picha ya This Day inayoonyesha makosa ni sawasawa kabisa na picha ya gazeti la Majira la jana.
Msitake kutuhadaa!
 
..makosa yamefanyika? ndio!

..makosa kama haya yako mengi,katika kila shughuli,hata zile za ku-sign mikataba!

..sasa,hii iko wazi kuwa ni makosa madogo...lakini kukuza suala hili kisiasa haisaidii!

..honeymoon is over ppl,let's move on!
 
..makosa yamefanyika? ndio!

..makosa kama haya yako mengi,katika kila shughuli,hata zile za ku-sign mikataba!

..sasa,hii iko wazi kuwa ni makosa madogo...lakini kukuza suala hili kisiasa haisaidii!

..honeymoon is over ppl,let's move on!

DaR si LAMU,

Hapo kinachotakiwa ni ku review situation nzima na kupata sababu kwanini hilo kosa lilitokea. Baada ya hapo basi wanachukua hatua ili kosa kama hilo lisitokee tena siku za mbeleni.

Lakini kwa TZ hii issue wataifukia bila kufanya uchunguzi wa kina, matokeo yake makosa kama au karibu na hayo yatafanyika siku na sehemu nyingine.

Huwa sisi hatujifunzi kwa makosa yetu na ndio maana makosa yale yale tunarudia mwaka hadi mwaka.
 
DaR si LAMU,

Hapo kinachotakiwa ni ku review situation nzima na kupata sababu kwanini hilo kosa lilitokea. Baada ya hapo basi wanachukua hatua ili kosa kama hilo lisitokee tena siku za mbeleni.

Lakini kwa TZ hii issue wataifukia bila kufanya uchunguzi wa kina, matokeo yake makosa kama au karibu na hayo yatafanyika siku na sehemu nyingine.

Huwa sisi hatujifunzi kwa makosa yetu na ndio maana makosa yale yale tunarudia mwaka hadi mwaka.

HILI KOSA LITATUMIKA KWENYE MABANGO YA WAPINZANI 2010 KUONYESHA UZEMBE WA CCM.
 
Naomba rasmi kuelezea KINACHOFANYIKA. Check ni ya bank moja, lakini watoaji wakiwa wapo zaidi ya mmoja, BANGO (dummy cheque) inawekwa MOJA.

Wa kwanza anaandikiwa anakabidhi, kisha inafutwa na kuandikwa kwa ajili ya wa pili, hivyo hivyo mpaka wa MWISHO.

Kilichotokea ni kuwa baada ya Mufuruki kukabidhi, aliyeandika hakubadili MANENO. Alibadili TARAKIMU tu!!

Ndivyo ilivyofanyika, na ni picha mbili tofauti.

JF tuwe tunafikiria POSITIVELY

Asante FD.

Hii explanation yako iko very clear!
Lets move on!
Admin nafikiri hii tunaweza kuiita ACCEPTABLE answer na naomba thread ifungwe.
Asante kwa kila aliyejaribu kuelezea.
 
Hiyo ni sanaa na maigizo!! kama utaweza kuigiza Iga!!..
Lakini usiwe na hasira!!

Chochote kile kinacho tokea kina maana!!
Bora kutafuta maana kuliko Kubaki Mnaangalia picha na kufurahi!!
Yote haya ni kutokana na wazo kwamba! Historia ina hukumu!!
 
FD,

Ndio maana nakupenda sana, wewe kweli MTAZAMA PANDE ZOTE ZA SHILINGInatamani ningekuwa na dada yangu walahi ningeomba umuoe lau kwa siku chache!

Tufunge Thread, zimekuwa nyingi mno wakati ujumbe huo huo!
 
Jamani picha ya THISDAY na CITIZEN ni tofauti moja inaoyensha Rais akipokea hundi toka kwa Mr. Ali Mufuruki (Yeye ni mweusi) na ndo maandishi na namba vinaendana. Lakini hiyo nyingine inaoyesha Rais akipokea hundi toka kwa Mkurugenzi wa Benki ya Duania kwa nchi za Tanzania na Uganda (yeye ni mzungu). Kwa hiyo hakuna haja ya kulinganisha hizi picha kwani ni za watu 2 wawili tofauti jamani.
 
Asante FD.

Hii explanation yako iko very clear!
Lets move on!
Admin nafikiri hii tunaweza kuiita ACCEPTABLE answer na naomba thread ifungwe.
Asante kwa kila aliyejaribu kuelezea.

Our concern is not picha mbili, is about the message iliyobebwa na hilo bango lenu na sasa kashikilia presda wa nchi ambaye ni mtu wa mwisho kabisa katika nchi.

What this potrays???? ni ukosefu wa umakini kwa wtendaje. HEBU TUACHENI POROJO!!! Hapa kuna message kubwa sana imebebwa kwamba watendaji wetu kuanzia ngazi ya chini hadi juu kabisa ikulu hawako makini hata kidogo.

Tutaendelea kusign mikataba mibovu na kuuziwa vitu fake hadi tunaenda kaburini kwa sababu ya uzembe wa watu kama hawa. Mtu asiyewajibika ataona hiki kitu kidogo na ataanza kusema ndio mmeona hiki tu mkiacha mambo ya msingi. THIS IS STUPID MIND, umakini unaanzia kwenye vitu vidogo kama hivi.

lets be serious and critically exploit on message carried kwenye bango hilo. HAKUNA SERIOUSNESS KWENYE GOVT, JK ANAONEKANA KUWA LIGHT NA NDIVYO ALIVYO, MSITEGEMEE MABADILIKO. MWL NYERERE ALISEMA UKIMWANGALIA USONI MTU MWENYE DHAMIRA FULANI UTAMTAMBUA.
 
Jamani picha ya THISDAY na CITIZEN ni tofauti moja inaoyensha Rais akipokea hundi toka kwa Mr. Ali Mufuruki (Yeye ni mweusi) na ndo maandishi na namba vinaendana. Lakini hiyo nyingine inaoyesha Rais akipokea hundi toka kwa Mkurugenzi wa Benki ya Duania kwa nchi za Tanzania na Uganda (yeye ni mzungu). Kwa hiyo hakuna haja ya kulinganisha hizi picha kwani ni za watu 2 wawili tofauti jamani.

Hiyo benki ipo wapi?
 
kwa kuwa wanasiasa wamezoe kusema waandishi wameninukuu vibaya basi naona camera nayo ilinukuu vibaya. inaelekea hizo ni hundi mbili tofauti ila aliyekwenda kubadilisha alisahau kubadilisha maneno. gazeti halijagushi chochote hapo
 
FD,

Ndio maana nakupenda sana, wewe kweli MTAZAMA PANDE ZOTE ZA SHILINGInatamani ningekuwa na dada yangu walahi ningeomba umuoe lau kwa siku chache!

Tufunge Thread, zimekuwa nyingi mno wakati ujumbe huo huo!

Kama huna dada basi hata yule binti yako tunaweza kumchumbia kwa sasa tumsubiri akikuwa... teh teh tteeeeeh (joking)
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom