Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,270
- 16,286
Hii nji kwa sasa naona kuna makampuni yameamua kutuibia live bila chenga?nipo vichochoroni napata tusker mara mtu ananishtua kuwa tusker wana mashindano c nikajitosa kutuma namba jinsi maelekezo yanavyosema,cha ajabu ukituma mara zote za kwanza zinadai umekosea hasira imenikamata vbya coz hela kwenye simu imekata af sjaambulia chochote! Huu ni wizi mkubwa yan hadi bia zimenichefua