Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,268
- 33,040
Mtoto anao ugonjwa wa Saratani Kensa anahitaji maombi yenu mumuombee dua jamani...............
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mungu amponye mtoto huyu.
sina la kusema nimejikuta naangalia kwann ninao wangu wazima na huyu anaumwa hivi nikakosa jibu, manake
je ni kwamba ni haki yangu kuwa nao wazima ...........jibu sio haki yangu
je ni kwamba ninasali sana ............jibu hapana
je ni kwamba ninastahili...................jibu hapana
je ni kwamba mm ni mwema sana na wazazi wa mtoto huyu ni wadhambi .........jibu hapana.
je ni kwamba Mungu anawapenda wanangu ama mm zaid......jibu hapana kwani Mungu hana upendeleo.
nika conclude kwamba ni kwa neema tu nimepewa watoto hawa, na huyo yupo si kwamba Mungu anamchukia la hasha ila anataka kutufunza tuwe na ibada za kweli na sio za kwenda kanisani bali za kutazama wagonjwa , kusaidia yatima na wajane na kujitenga na dunia tusitende dhambi.
tena mama yake ana imani kali sana kamweka ribbon ya green akimaanisha uhai so she hopes kwamba atapona na anaish hata kama kwa kusaidiwa na mashine.mh!umetafakari kwa kina sana ujue lol!umenisaidia na mimi kujitazama upya kiimani!
ila nimependa jinsi mzazi wake jinsi alivo na hope kwa mwanae angalia alivomwekea ribbon!sijui kama umeiona saikolojia yake!
kama haya yanatoka kichwani na moyoni mwako basi u-mtu mzuri sana hata hivyo mungu akubariki kwa maandiko haya.tena mama yake ana imani kali sana kamweka ribbon ya green akimaanisha uhai so she hopes kwamba atapona na anaish hata kama kwa kusaidiwa na mashine.
snowhite katika makosa ambayo wazazi wengi wanafanya ni pamoja na kujisahau. utakuta mtoto siku ya b'day mama anampigilia pamba, na kutuma matangazo fb, bango, twitter etc akasahau kabisa swala la kwamba kapata hayo kwa neema tu hivyo amrudishie kwanza Mungu sifa na tukufu. ifike mahali siku ya b'day ya mtoto umchukue mwanao uende nae hosp kutembelea wodi ya watoto ama vituo vy ayatima ili nae ajue kapata haya kwa neema tu.na huu ujumbe ukue ndani yake kila siku.
tumewazoeza watoto wetu raha za outing, kids fun clubs nk tukasahau upande wa pili wa shilingi ambao unahitaji kuwa wazi